Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

  • Redirect
Ninasikiliza Nyimbo mpya hapa ya Nay Wa Mitego ambayo iko YouTube bado haijawa officially released, daaaah Hapa nazid kumuelewa Huyu Jamaa si wa spot spot, Yaan Hana Fear kabisa kwa anachoandika...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
*NAY WA MITEGO MIKONONI MWA POLISI* Msanii wa Bongofleva, Nay wa Mitego amekamatwa na Polisi usiku wa kuamkia leo (Machi 26, 2017) mkoani Morogoro. Habari zinasema kuwa Nay alikamatwa baada ya...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Msaani maarufu wa Hip Hop nchini Tanzania anayejulikana kama ROMA Mkatoliki kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa sio kawaida yake kukaa kimya maana huwa lazima atie neno yani aachie angalau kawimbo juu...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
wapo ni new song ya ney wa mitego, mbali ya huu wimbo kuzungumzia masuala ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini, pia kama ilivyo desturi yake amewazungumzia wasanii na watu mbalimbali maarufu hapa...
0 Reactions
Replies
Views
Katika hali inayoonesha kuwa taarifa zinavuja kwa kasi na ishara kuwa mange anakubalika kwa watu wengi hata ndani ya system hii leo mange amepost waraka anaodai kutumiwa na mtu toka ndani ya...
7 Reactions
704 Replies
72K Views
Tupia jicho ujionee kwenye kipazia chako Hamonaizi amwoneshe kidole cha kati boss wa hamorapa, Hamonize alikua na interview EATV kipindi cha FNL alipo mkuta hamorapa EATV ameamua kusepa.
4 Reactions
46 Replies
6K Views
  • Redirect
Mlio shuhudia kitendo hicho kilichofanywa na huyo super star nguli nchini tafadhali tujuzeni na sisi.
0 Reactions
Replies
Views
Hii remix sijui hata ilipotelea wapi ndani ya siku moja tu ikapotea kwa mawimbi....na mwenye wimbo ndo anasifika kwa kutoa ngoma zenye long term life hii imekaaje mbona imepotea ghafla nn tatzo au...
7 Reactions
55 Replies
5K Views
Miss Tanzania amelalamika kuporwa ushindi wa Miss Afrika na miss wa Kenya baada ya mrembo wa Kenya kumjuibia makala yake ambayo ndio imempa ushindi. Miss Tanzania Diana Edwardamedai wamefuatlia...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Siamini kama Kamanda huyu kwa sasa amekuwa outdated. Siamini kama CHADEMA wamemsahau kiasi hiki. Siamini kama zile mbwembwe za awali zimeyeyuka kiasi hiki. Kuna siku niliwatahadhalisha kuwa siku...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
  • Redirect
kaachia wimbo mpya nafikiri kaamua kutoa ya moyoni katapika kila kitu WAPO https://my.notjustok.com/track/download/id/197874
2 Reactions
Replies
Views
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache...
10 Reactions
129 Replies
13K Views
Mwizi anaejisifia kwa kujiita (Super hacker) Ameiba account ya Star wa Bongo Movie Shamsa Ford amabapo jina la account hyo kwa sasa amelibadilisha na kujiita @umerikoroga utalinywa mwenyewe...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
  • Redirect
Kwa wadau wa mziki huyu Ney mnamchukuliaje? Sikiliza muziki wake mpya Verse 1: Unachokipanda leo ndicho utachovuna kesho. Imeandikwa Mwanaume kula kwa jasho. Najiuliza hivi ni nani kaiona...
0 Reactions
Replies
Views
Baada ya Kipindi cha Shilawadu kukumbwa na misuko suko clouds wamekuja na kipindi kingine cha ukwaju wa meja Jenerali, kinachorushwa na Musa Hussein msikilize hapa alivyokitangaza leo
5 Reactions
17 Replies
8K Views
Habari zenu wana JF Ikiwa ni jumapili Mubashara kabsaaaa kwangu lakini kwa upande wa Prince Daud Albert Bashite(jina lake halali kabsa) alimaarufu kama Paul C. Makonda(jina feki) mambo ni Mabaya...
7 Reactions
86 Replies
22K Views
  • Redirect
[emoji23][emoji23] nchi inakoenda sijui ila nawatakia asubuhi njema
0 Reactions
Replies
Views
Habari ya muda huu wana jukwaa. Nimejaribu kulinganisha sebene za wasanii mbalimbali hasa kutoka DRC nikaona werrason sebene zake zinakimbiza ile mbaya, mfano Kata fumbwa, mipende na mzigo...
2 Reactions
69 Replies
16K Views
  • Redirect
harmo rapa bana [emoji28] [emoji23] [emoji23] alooneshwa bunduki katulia yeye sasa mbiooooooooo
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom