Ninasikiliza Nyimbo mpya hapa ya Nay Wa Mitego ambayo iko YouTube bado haijawa officially released, daaaah Hapa nazid kumuelewa Huyu Jamaa si wa spot spot, Yaan Hana Fear kabisa kwa anachoandika...
*NAY WA MITEGO MIKONONI MWA POLISI*
Msanii wa Bongofleva, Nay wa Mitego amekamatwa na Polisi usiku wa kuamkia leo (Machi 26, 2017) mkoani Morogoro.
Habari zinasema kuwa Nay alikamatwa baada ya...
Msaani maarufu wa Hip Hop nchini Tanzania anayejulikana kama ROMA Mkatoliki kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa sio kawaida yake kukaa kimya maana huwa lazima atie neno yani aachie angalau kawimbo juu...
wapo ni new song ya ney wa mitego, mbali ya huu wimbo kuzungumzia masuala ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini, pia kama ilivyo desturi yake amewazungumzia wasanii na watu mbalimbali maarufu hapa...
Katika hali inayoonesha kuwa taarifa zinavuja kwa kasi na ishara kuwa mange anakubalika kwa watu wengi hata ndani ya system hii leo mange amepost waraka anaodai kutumiwa na mtu toka ndani ya...
Tupia jicho ujionee kwenye kipazia chako
Hamonaizi amwoneshe kidole cha kati boss wa hamorapa,
Hamonize alikua na interview EATV kipindi cha FNL alipo mkuta hamorapa EATV ameamua kusepa.
Hii remix sijui hata ilipotelea wapi ndani ya siku moja tu ikapotea kwa mawimbi....na mwenye wimbo ndo anasifika kwa kutoa ngoma zenye long term life hii imekaaje mbona imepotea ghafla nn tatzo au...
Miss Tanzania amelalamika kuporwa ushindi wa Miss Afrika na miss wa Kenya baada ya mrembo wa Kenya kumjuibia makala yake ambayo ndio imempa ushindi.
Miss Tanzania Diana Edwardamedai wamefuatlia...
Siamini kama Kamanda huyu kwa sasa amekuwa outdated. Siamini kama CHADEMA wamemsahau kiasi hiki. Siamini kama zile mbwembwe za awali zimeyeyuka kiasi hiki. Kuna siku niliwatahadhalisha kuwa siku...
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache...
Mwizi anaejisifia kwa kujiita (Super hacker) Ameiba account ya Star wa Bongo Movie Shamsa Ford amabapo jina la account hyo kwa sasa amelibadilisha na kujiita @umerikoroga utalinywa mwenyewe...
Kwa wadau wa mziki huyu Ney mnamchukuliaje? Sikiliza muziki wake mpya
Verse 1:
Unachokipanda leo ndicho
utachovuna kesho.
Imeandikwa Mwanaume kula kwa
jasho.
Najiuliza hivi ni nani kaiona...
Baada ya Kipindi cha Shilawadu kukumbwa na misuko suko clouds wamekuja na kipindi kingine cha ukwaju wa meja Jenerali, kinachorushwa na Musa Hussein
msikilize hapa alivyokitangaza leo
Habari zenu wana JF
Ikiwa ni jumapili Mubashara kabsaaaa kwangu lakini kwa upande wa Prince Daud Albert Bashite(jina lake halali kabsa) alimaarufu kama Paul C. Makonda(jina feki) mambo ni Mabaya...
Habari ya muda huu wana jukwaa. Nimejaribu kulinganisha sebene za wasanii mbalimbali hasa kutoka DRC nikaona werrason sebene zake zinakimbiza ile mbaya, mfano Kata fumbwa, mipende na mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.