Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,697
- 12,760
karibu na tumsapoti dada yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana tuuuNaona saivi atakuwa wa majuu sana huyu mama.
Ni mama lakini sauti yake sasa ....imagine katokea bush akiwa muimbaji wa nyimbo za kihaya huko vijijini ....nchi hii ina vipaji tatizo ni namna ya kuviibua tu ....the same kwenye soka ...tunakomaa na simba &yanga while nchi hii ina watu almost 50 million .....vijijini huko kuna vichwa hatujavitambua ....Sijawahi jutia kumpenda huyu dada pamoja na kazi zake.....na uelewa sana mziki wake!!
haaaaaaaaaaaa...wamefanyaje mkuuWahaya bhana
Aisee..... Kweli sasa naamini sumu haijamuisha huyu mzee..