Fungate: Mwanamuziki mkongwe na mbunge wa Mikumi, Prof. J kufunga ndoa na Grace

Majs

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
229
485
Professa Haule.jpg

Pichani mbunge wa Mikumi, Professa J akiwa na rafiki yake kwenye send off ya mkewe tayari tayari kwa fungate hivi karibuni.​

Prof J.JPG

Pichani mke mtarajiwa wa professa, Bi Grace akiwa kwenye send off yake hivi karibuni.

Professa J.jpg

Pichani wapendanao wakiwa kwenye mizunguko ya kila siku.​
 
safi mwana`LUTENGANO mwenzangu,mungu akutangulieni kwenye maisha yenu mapya ya ndoa..
 
Mheshimiwa anaoa "MZUNGU" wa kitanganyika
kila la heri J
[HASHTAG]#HappyBirthdayToMe[/HASHTAG]
 
Kendrick Lamar kwenye wimbo wa humble alijiimbia tu...

I'm so fucking sick and tired of the Photoshop...
Show me something natural like afro on Richard Pryor...
Show me something natural like ass with some stretch marks.

Naona mbunge mwanaHipHop hakumwelewa Kendrick
 
Hongera prof J kwa kupata jiko.Lakini naomba kujua tu ivi hii ndio ndoa yake ya kwanza au alishawahi kuoa kabla?sio kwake tu swali hili liko kinyume chake pia (kwa mkewe)Yote kwa yote nimtakie ndoa njema na mzungu wake
 
Kendrick Lamar kwenye wimbo wa humble alijiimbia tu...

I'm so fucking sick and tired of the Photoshop...
Show me something natural like afro on Richard Pryor...
Show me something natural like ass with some stretch marks.

Naona mbunge mwanaHipHop hakumwelewa Kendrick
"Show me something natural like ass with some stretch marks"
Wadada wa mjini cku hz hawataki kabisa hayo mamichirizi...!!
 
Kendrick Lamar kwenye wimbo wa humble alijiimbia tu...

I'm so fucking sick and tired of the Photoshop...
Show me something natural like afro on Richard Pryor...
Show me something natural like ass with some stretch marks.

Naona mbunge mwanaHipHop hakumwelewa Kendrick
kwan unadhani huo ufake anakua nao mpk kwenye real life, lol think big.
 
Back
Top Bottom