Mahakama ya Afrika ya watu na haki za binadamu yenye makao yake makuu jijini Arusha, leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya mwanamuziki nguli nchini, Nguza Viking na mwanawe Johnson Nguza ‘Papii...
Hii nchi ishakuwa ya ajabu sana ,hivi nyie Basata au mawaziri wa sanaa mmeshawah kuwasaidia nini wasanii au kuwainua katika swala La mziki ,
Mkatae mkubali Diamond katutangaza duniani anapoenda...
WEMA SEPETU NA ZARI THE BOSS LADY KUMEKUCHA, HAPATOSHI, DJ WA DIAMOND JORMY JONES AFANYA YAKE
Wema, Zari Hapatoshi Mitandaoni, Maua Yazua Gumzo Balaa! Siku chache baada ya mzazi mwenza wa Mbongo...
Diamond amesema hayo alivyokuwa anafanyiwa interview huko Kenya alipoenda Kuzindua album yake ya 'A boy from Tandale'
Kua amethibitisha Zari amemuacha tarehe 14 February 2018 ila mwanamke...
mimi namkubali sana Mond bin laden aka Chibu simba platinamzi , hivi huu wimbo wa mond na rich Mavoko , hawa bazata kama sio basata hawajauona ?? mbona mademu wako uchi kabisaaaa kuliko hata wale...
Steven Seagal accused by 2 women of rape and sexual assault
LUCHINA FISHER,Good Morning America 8 hours ago
Steven Seagal accused by 2 women of rape and sexual assault (ABC News)
Two women...
Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani Calvin Cordozar Broadus ambaye wengi wanamfahamu kwa jina maarufu kama Snoop Dogg alitangaza kuachana na muziki wa Hip Hop (kidunia) na kumrudia Mungu kwa...
Msanii wa Filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka sababu ya baadhi ya mstaa hasa wa kike kutodumu katika mahusiano.
Muigizaji huyo amesema mahusiano ya watu maarufu hayadumu kutokana wanaingiza...
Diamond Platnumz kila kukicha anaendelea kuweka rekodi kwenye muziki wake na awamu hii sio views wa kwenye mtandao wa YouTube bali ni Subscribers.
Diamond kwenye akaunti yake ya YouTube tayari...
Nimetoka zangu kwenye mitikasi ya town,bize tangu asubuh sijapata hata nafasi ya kuwasha data.
Sa nikasema ngoja niingie mitandaoni baada ya kutulia jioni hii,ile nazama Instagram nakutana na post...
Ni watu wawili tofauti kabisa kuanzia asili mpaka jinsia bila kusahau habari zao.. Labda kinachowakutanisha ni ule uthubutu wa kufunua ya sirini juu ya serikali zao... Lakini Snowden kampiku Mange...
Mama yake Uwoya amezungumzia utetezi Irene kuwa hauna mashiko kwani hata kama anasafiri hauwezi kuwa mwaka mzima.
Dar es Salaam. Mama yake, Irene Uwoya, Neema Mrisho amesema hampendi Dogo...
Habari wana JF,
Katika hii album ya "a boy from tandale", kuna haja ya wasanii wengine kujifunza?
Either kujifunza kwa kufanya mtindo anaotumia Diamond or kufanya zaidi ya kile anachokifanya...
Niwe wazi kabisa kuwa Clouds ni watu hatari sana katika tasnia ya habari na ukandamizaji wa mafanikio ya watu mbalimbali pindi wanapokosa maslahi yao, ni watu wenye uchu wa unyonyaji haswa na...
Hivi wataalamu nimekuwa nikijiuliza kati ya hizi ngoma alizoziachiga diamond platnumz siku 1, yaani Niache na Sikomi, ipi ni ngoma kali kati ya hizi?
Maana dah c mchezo hizi ngoma japo mimi naona...
Mtunzi, mpiga gita na kiongozi wa bendi.
Kwa nini namzungumzia huyu mzee.?
Alizawa ktk ya mji wa Kinshasa miaka 73 iliopita, alikuwa hapend sana kuongea na watu.Alionekana mtulivu na muelewa...
Moja ya ndoto nyingi za mastaa kibao wa muziki ni kupata nafasi Billboard. Diamod amepata bahati hio baada ya kuandikwa kwenye makala ya mtandao huo wa BILLBOARD.
Katika picha ambayo imewekwa...
Kuna ujumbe umetapakaa kwenye social networks wa Mr. Mbasha.
Je ujumbe huu umemlenga nani?
Nini dhumuni lake hasa la ujumbe huu kwa muda huu?
Kwanini kautoa ujumbe huu sasa?
Naomba Nikushauri kwa kutumia mfano wa wasanii Wakubwa maana ndyo Role model wako.
Mwaka 2008 had 2012, Lil Wayne alikuwa miongini mwa wasanii wanaotamba katika mziki wa dunia. Mwaka 2008...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.