ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,773
- 5,851
Hivi wataalamu nimekuwa nikijiuliza kati ya hizi ngoma alizoziachiga diamond platnumz siku 1, yaani Niache na Sikomi, ipi ni ngoma kali kati ya hizi?
Maana dah c mchezo hizi ngoma japo mimi naona kama niache ndo kali sana.
Toa mawazo yako.
Pia lini ali kiba atatoa wimbo maana toka seduce me imetoka dmond mwenzie kashaachia ngoma kama 7 hivi. Kwanini basata wasimpige faini kwa kuchelewa kutoa wimbo huku mashbiki tunasubiri kwa hamu
Maana dah c mchezo hizi ngoma japo mimi naona kama niache ndo kali sana.
Toa mawazo yako.
Pia lini ali kiba atatoa wimbo maana toka seduce me imetoka dmond mwenzie kashaachia ngoma kama 7 hivi. Kwanini basata wasimpige faini kwa kuchelewa kutoa wimbo huku mashbiki tunasubiri kwa hamu