Simaro massiya lutumba

Bakulutu

JF-Expert Member
Nov 30, 2011
2,544
1,760
Mtunzi, mpiga gita na kiongozi wa bendi.

Kwa nini namzungumzia huyu mzee.?
Alizawa ktk ya mji wa Kinshasa miaka 73 iliopita, alikuwa hapend sana kuongea na watu.Alionekana mtulivu na muelewa saaana, hana sauti ya kuimba sana, ila
1. NI MTUNZI NO 2 KTK BENDI YA TP OK WAKAT HUO.
2.NI MPIGA GITA KWA NAMNA YA KIPEE HASA KWENYE MIZIK YA JAZZ.
Aliweza kuongoza bendi kipndi ikiw inafanya ziara kwny mataifa ya ulaya, america na Africa kama Franco hakuwepo au kwnye matamasha ndan ya congo.

Ameweza kutunga nyimbo nyingi sana, bahadhi ni .
1.Maya iliombwa na Carlyto Lassa
2.Testamente ya Bowule ilioimbwa na Malege de Lugendo
Vaccination, Ebale ya zaire,Faute ya commentant,mabele n.k ambazo nyingi aliimba Sam Mangwana(Le grand devoiyega).

We unamuelewa vp Simaro na unavutiwa na wimbo upi hasa...
 
Eau Benite iliyoimbwa na Madilu System, nimeona yenye translation ya Kiingereza, I can only say huyu jamaa alikuwa anajua kuandika kweli kweli.
 
Eau Benite iliyoimbwa na Madilu System, nimeona yenye translation ya Kiingereza, I can only say huyu jamaa alikuwa anajua kuandika kweli kweli.
Niliangalia video yake, kuna mahal anakuwa naomba yy japo inakuw ni saut ya Madilu..na mpenda saana kw wale wapenz wa kununi cd kuna show za PRIMUS iliondaliwa kw ajil yake ya kutimiza miaka 70,alikuw anapiga gitaa kama kawa..
 
Mtunzi, mpiga gita na kiongozi wa bendi.

Kwa nini namzungumzia huyu mzee.?
Alizawa ktk ya mji wa Kinshasa miaka 73 iliopita, alikuwa hapend sana kuongea na watu.Alionekana mtulivu na muelewa saaana, hana sauti ya kuimba sana, ila
1. NI MTUNZI NO 2 KTK BENDI YA TP OK WAKAT HUO.
2.NI MPIGA GITA KWA NAMNA YA KIPEE HASA KWENYE MIZIK YA JAZZ.
Aliweza kuongoza bendi kipndi ikiw inafanya ziara kwny mataifa ya ulaya, america na Africa kama Franco hakuwepo au kwnye matamasha ndan ya congo.

Ameweza kutunga nyimbo nyingi sana, bahadhi ni .
1.Maya iliombwa na Carlyto Lassa
2.Testamente ya Bowule ilioimbwa na Malege de Lugendo
Vaccination, Ebale ya zaire,Faute ya commentant,mabele n.k ambazo nyingi aliimba Sam Mangwana(Le grand devoiyega).

We unamuelewa vp Simaro na unavutiwa na wimbo upi hasa...
Leo 19.03.2018 Papa Lutumba anatimiza miaka 80 na 60 kati ya hiyo akiwa mwanamuziki na ifikapo ijumaa anapanda stejini kwa mara ya mwisho. Wiki hii atakuwa na shoo 3 za kuaga.
 
Day!! jamaa anaheshimika sana DRC, wimbo Dati version ya Awilo Longomba huwa unanishika sana.
 
Back
Top Bottom