Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Mtunzi, mpiga gita na kiongozi wa bendi.
Kwa nini namzungumzia huyu mzee.?
Alizawa ktk ya mji wa Kinshasa miaka 73 iliopita, alikuwa hapend sana kuongea na watu.Alionekana mtulivu na muelewa saaana, hana sauti ya kuimba sana, ila
1. NI MTUNZI NO 2 KTK BENDI YA TP OK WAKAT HUO.
2.NI MPIGA GITA KWA NAMNA YA KIPEE HASA KWENYE MIZIK YA JAZZ.
Aliweza kuongoza bendi kipndi ikiw inafanya ziara kwny mataifa ya ulaya, america na Africa kama Franco hakuwepo au kwnye matamasha ndan ya congo.
Ameweza kutunga nyimbo nyingi sana, bahadhi ni .
1.Maya iliombwa na Carlyto Lassa
2.Testamente ya Bowule ilioimbwa na Malege de Lugendo
Vaccination, Ebale ya zaire,Faute ya commentant,mabele n.k ambazo nyingi aliimba Sam Mangwana(Le grand devoiyega).
We unamuelewa vp Simaro na unavutiwa na wimbo upi hasa...
Kwa nini namzungumzia huyu mzee.?
Alizawa ktk ya mji wa Kinshasa miaka 73 iliopita, alikuwa hapend sana kuongea na watu.Alionekana mtulivu na muelewa saaana, hana sauti ya kuimba sana, ila
1. NI MTUNZI NO 2 KTK BENDI YA TP OK WAKAT HUO.
2.NI MPIGA GITA KWA NAMNA YA KIPEE HASA KWENYE MIZIK YA JAZZ.
Aliweza kuongoza bendi kipndi ikiw inafanya ziara kwny mataifa ya ulaya, america na Africa kama Franco hakuwepo au kwnye matamasha ndan ya congo.
Ameweza kutunga nyimbo nyingi sana, bahadhi ni .
1.Maya iliombwa na Carlyto Lassa
2.Testamente ya Bowule ilioimbwa na Malege de Lugendo
Vaccination, Ebale ya zaire,Faute ya commentant,mabele n.k ambazo nyingi aliimba Sam Mangwana(Le grand devoiyega).
We unamuelewa vp Simaro na unavutiwa na wimbo upi hasa...