Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Nimetoka zangu kwenye mitikasi ya town,bize tangu asubuh sijapata hata nafasi ya kuwasha data.
Sa nikasema ngoja niingie mitandaoni baada ya kutulia jioni hii,ile nazama Instagram nakutana na post za maua kila page mekundu,meupe,ya njano,pink,meusi nikajiuliza kuna nini? Mbona fujo za post za maua zimekolea sana?
Sa nikasema ngoja niingie mitandaoni baada ya kutulia jioni hii,ile nazama Instagram nakutana na post za maua kila page mekundu,meupe,ya njano,pink,meusi nikajiuliza kuna nini? Mbona fujo za post za maua zimekolea sana?