Kwani kuna nini huko instagram?

Chinga One

JF-Expert Member
May 7, 2013
11,450
12,317
Nimetoka zangu kwenye mitikasi ya town,bize tangu asubuh sijapata hata nafasi ya kuwasha data.
Sa nikasema ngoja niingie mitandaoni baada ya kutulia jioni hii,ile nazama Instagram nakutana na post za maua kila page mekundu,meupe,ya njano,pink,meusi nikajiuliza kuna nini? Mbona fujo za post za maua zimekolea sana?
Screenshot_20180319-182551.png
Screenshot_20180319-182551.png
Screenshot_20180319-182621.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom