Kwani kuna nini huko instagram?

Kwani kuna nini huko instagram?

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,493
Reaction score
12,461
Nimetoka zangu kwenye mitikasi ya town,bize tangu asubuh sijapata hata nafasi ya kuwasha data.
Sa nikasema ngoja niingie mitandaoni baada ya kutulia jioni hii,ile nazama Instagram nakutana na post za maua kila page mekundu,meupe,ya njano,pink,meusi nikajiuliza kuna nini? Mbona fujo za post za maua zimekolea sana?
Screenshot_20180319-182551.png
Screenshot_20180319-182551.png
Screenshot_20180319-182621.png
 
utasikia ni maandalizi ya wema kuolewa na diamond!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama rais wako anacoment na kulike kwenye page ya Udakutz we ni nani wa kujifanya hufatilii instagram Kyumar Khan!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom