Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Naangalia marudio ya kipindi cha shilawadu hapa, Kwisa anasema ni birthday yake na sababu mheshimiwa Rais Magafuli ni mdau mkubwa wa kipindi hicho wanategemea simu ya kumu wish happy birthday...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini za mida bandugu wa JF, naomba kuuliza hivi yule msanii alitewahi kutamba na ngoma kama WAITE POLISI na NAKUPENDA HIP HOP, aliyepata kujulikana kama roho 7 siku hizi yu wapi maana nna mda...
7 Reactions
72 Replies
23K Views
Msanii wa Bongo fleva Aslay amesema hajaridhika na mafanikio ambayo ameyapata kupitia mziki wake anaoufanya mpaka atakapo pata tuzo ya heshima hapa Bongo. Akiongea kupitia eNEWZ Aslay amesema...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Wakuu nawasikiliza wakina papii kocha now wakiwa wanahojiwa na clouds fm,yaan nataman ningewaulizaa walivyokuwa huko segereaa waliwezaje kukaa kwa miaka 14 bilaa kufanya mapenzi na walipopata...
1 Reactions
62 Replies
7K Views
Sijui nimewazaje ila mara nyingine kuna watu wanakose karata zao, huyu bwana 2015 angekuja Moshi kwa tiketi hata TLP, ubunge angeupata asubuh na mapema. Kosa lilikuwa kuja kupambana na CHADEMA...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Kwanza niseme jambo moja... na hili nilizungumza tangu nilipoleta uzi wa awali kabisa wa post ya Sallam. Ninachotaka kusema ni kwamba, Sallam needs to act as a man! Kama nilivyosema hapo awali...
26 Reactions
65 Replies
12K Views
Kwa wale wahenga wenzangu wapenzi wa hip-hop lazima mtakuwa mnamjua emcee aliyetamba mwaka 1994 na kibao chake cha ‘Flava In Ya Ear’. Habari zinasema kuwa alifariki jana Jumatatu kutokana na...
6 Reactions
42 Replies
4K Views
Msanii wa muziki Bongo, Chegge amefanikiwa kupata mtoto na mpenzi wake. Msanii huyo anayehit na ngoma yake mpya ya ‘Kaitaba’ aliyomshirikisha Saida Karoli, ametuma ukurasa wa mtandao wa kijamii...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Jaman unaweza kuonekana kituko mtu mzima kushabikia tangazo lakini hawa jamaa(Barnabas classic na Christian Bella wamelitendea haki hili tangazo la Nyaka Nyaka Bonus Hakika hawa washikaji...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikiliza huu wimbo ulitoka zaidi ya miaka kumi iliyopita. Ambapo prof alimshirikisha juma nature, but huwa kuna sauti ya kike huwa inasikika, ambayo kwnye video anaonekana Nargish...
0 Reactions
55 Replies
12K Views
Kwanza poleni na majukumu wakuu. Huwa nina tabia ya kusikiliza na kutizama show mbalimbali za kiburudani kwenye radio na tv stations mbalimbali za nchini na nje kwa majirani lakini kwa mwaka huu...
3 Reactions
70 Replies
14K Views
Dada zangu mtanisamehe sana ila niwaambieni tu kuwa ni matendo yenu ndiyo yanatufanya Sisi Wanaume hasa Mimi GENTAMYCINE nizidi ' Kuwapuuza ' hasa kutokana na wengi wenu kuwa na uwezo mdogo wa...
18 Reactions
172 Replies
19K Views
KATIKA hali ya kustajabisha, Wachina ambao hawakuweza kufahamika majina yao, wamenaswa wakipagawa na kugombea kumshika kalio, mtangazaji maarufu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ nchini China...
2 Reactions
63 Replies
15K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza je diamond platnumz ataathirika vipi na hii album yake baada ya nyimbo mbili kufungiwa? Au hakuna athari zitakazo jitokeza? Maana tarehe 16/3/2018 ndio inatoka. Hili...
1 Reactions
57 Replies
9K Views
Yeah! Wale paka na panya wa HIP HOP ya bongo Nikki mbishi a.k.a babu bombo wakutana uso kwa uso na Nikki wa pili katika COLLABO inayoitwa BASATA Wakali hao wa music bongo ambaye kila mmoja...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Msanii Blandina Chagula maarufu kama Johari msanii wa maigizo na filamu nchini ameweka wazi kuwa ana mpango wa kugombea Ubunge kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2020. Johari amefunguka kuwa muda ukifika...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Msanii wa HipHop asiyeishiwa na vituko kila uchao, Chid Benz amekiri kuuza nyumba yao ambayo iliyokuwa kwenye 'apartment' za ghorofa waliyokuwa wanaishi Ilala Jijini Dar es Salaam na kudai sio ya...
2 Reactions
42 Replies
13K Views
Kwa Nini Diamond amechagua kwenda Kenya kuzindua na kusikilizwa kwa album yake kwa mara vya kwanza. Pia Wakenya wameitumia vema fursa hiyo kwa kampuni za biashara kujitokeza kwa issue za...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Muimbaji huyo anayetamba na ngoma ‘Tuheshimiane’ ameiambia Planet Bongo ya EA Radio kuwa hatua hiyo ni sawa kwa sababu nyimbo hizo zitaharibu vijana na watoto ambao ndio wafutialiaji wakubwa wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Leo nimemuona NW wa mazingira Lugola akifanya ukaguzi wa mazingira huku akiwa kavalia suti ya michezo. Juzikati napo Dr Kigwangala akiwa katika ukaguzi wa mbuga alikuwa akipigilia full combat na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom