Wadau,
Mdau Ruttashobolwa alileta hapa Uzi wa mdau mwengine wa humu W. J. Malecela akimshutumu Naibu Waziri wa Habari, Michezo Bi. Juliana Shonza ambae alikua pia ni mdau humu Jamiiforums...
Hawa jamaa wawili ni wasanii wa hip hop Tanzania...ukweli ni kwamba wanaweza wasiwe wasanii wa kali sana lakini ni wasanii wanaoimba zaidi kuhusu maisha ya mtaani,jinsi watanzania wanavyopata...
Kama mnamsoma jamaa alianza vizuri Sana,wengi tukasema Nasty c anakuja kupotezwa...Flow kali..,Mistari mikali Bilingual Beast kumzidi wakazi..wote tuka Bet kua Young nigga is goin to Rep...
Nikki sina bifu na wewe ila nataka nikueleze tu ,huna talent ya kuimba nasema tena " HUNA KIPAJI CHA KUIMBA " , na kama ile mistari unayoimbaga unaitunga ww basi nakushauri baki ukiwa kama mtunzi...
Sakata la Diamond, Je Shonza, Naibu waziri mdogo wa wasanii, Je anatumika na CloudsGroup/RUGE au ana uwezo mdogo? au yote.
Nakili, Baada ya kusikia uteuzi wa Bibiye shonza katka wizara hii nyeti...
Malkia wa nyimbo za mwambao Afrika Mashariki na kati, Khadija Omary Kopa amesema sio jambo zuri kwa wanawake kukaa kugombea mwanaume na kuwataka wawe wabunifu katika mapishi pamoja na kutumia...
Wastara amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi jioni, Wastara anasema...
Kiukweli mimi ni mmoja wa watu na mashabiki wa Diamond na mashabiki wengine ambao tuna amini Nyimbo na video za wasanii husika ikiwemo Diamond zina makosa na walipaswa kujikita kurekebisha makosa...
Diamond Platnumz akiongea na Times FM 100.5fm amesema Rais Magufuli alimpigia simu kumpongeza kwa kuchaguliwa kwenda kutumbuiza katika Kombe la Dunia huko Urusi mwezi wa June.
Na yeye Diamond...
Muda huu Chibu dii Chibu dee anahojiwa sasa hivi kwenye kipindi cha play list kinachorushwa na Times Fm
UPDATES
==========================================
> Siku niliyopewa taarifa za kuimba na...
Pole sana mdogo wangu, sikupi pole ya maadui na haters wengi waliokuzunguka, nakupa pole kwasababu kuna mahali umeshika nyeti za mwamba na unataka kuzifunua.
Inawezekana kabisa ukawa unalifahamu...
Nimeona juzi tu chalii kaachia ngoma mpya tena ikiwa ni katikati ya trending stories kuhusu Chibu na Album yake,Chibu na Song kali la African Beauty,Chibu na Wema,Chibu na Yule Demu Msaidizi wa...
Mahakama ya Afrika ya watu na haki za binadamu yenye makao yake makuu jijini Arusha, leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya mwanamuziki nguli nchini, Nguza Viking na mwanawe Johnson Nguza ‘Papii...
Hii nchi ishakuwa ya ajabu sana ,hivi nyie Basata au mawaziri wa sanaa mmeshawah kuwasaidia nini wasanii au kuwainua katika swala La mziki ,
Mkatae mkubali Diamond katutangaza duniani anapoenda...
WEMA SEPETU NA ZARI THE BOSS LADY KUMEKUCHA, HAPATOSHI, DJ WA DIAMOND JORMY JONES AFANYA YAKE
Wema, Zari Hapatoshi Mitandaoni, Maua Yazua Gumzo Balaa! Siku chache baada ya mzazi mwenza wa Mbongo...
Diamond amesema hayo alivyokuwa anafanyiwa interview huko Kenya alipoenda Kuzindua album yake ya 'A boy from Tandale'
Kua amethibitisha Zari amemuacha tarehe 14 February 2018 ila mwanamke...
mimi namkubali sana Mond bin laden aka Chibu simba platinamzi , hivi huu wimbo wa mond na rich Mavoko , hawa bazata kama sio basata hawajauona ?? mbona mademu wako uchi kabisaaaa kuliko hata wale...
Steven Seagal accused by 2 women of rape and sexual assault
LUCHINA FISHER,Good Morning America 8 hours ago
Steven Seagal accused by 2 women of rape and sexual assault (ABC News)
Two women...
Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani Calvin Cordozar Broadus ambaye wengi wanamfahamu kwa jina maarufu kama Snoop Dogg alitangaza kuachana na muziki wa Hip Hop (kidunia) na kumrudia Mungu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.