Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

wadau bila kupepesa , huu mwaka harmonize ndiye kafanya kazi zilizotrend, ukipita mikoani unagundua harmonize ana fanbase almost sawa na diamond, inawezekana ndiye mrithi wa diamond,
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Yamoto band ni kundi lililotikisa sana miaka michache ya nyuma hapa bongo... liliundwa na vijana machachari wenye mashairi pendwa kwa rika zote. Baada ya hilo kundi kuvunjika kila msanii alianza...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Woyoooo niaje?! Nigerians once again wametisher movie ya Kwanzaa Africa kuingia Netflix imetokea Nigeria inaitwa Lion Heart Jamaica Bongo Movie tutaingia Netflix lini? ! Roho inaniumaje? ! wapi...
2 Reactions
38 Replies
5K Views
Yule Mkongwe na gwiji wa freva za bongo za ukweli inspector haron yu wapi?
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Hio Mibangi unayokula ni sistimu za kulanduka Kama sio fani yako kwakeli utaumbukaaa
3 Reactions
79 Replies
11K Views
Kuna mambo nayasikia Sana kuhusu mateja wanaokula unga.kwamba Hawa mateja waliochoka wachafu wanakula unga mchafu.Lakini wapo wenye hela zao wengi tu wanakula unga. Research yangu fupi nikaifanya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu! Nimefikiria kitu kuhusu huyu jamaa, katika tasnia ya mziki hapa Tanzania! Huyu jamaa yupo vizuri, ukisikiliza nyimbo zake kuna tungo nzuri kwa lugha yetu ya kiswahili fasaha...
22 Reactions
142 Replies
24K Views
Baada ya tuhuma nzito ya kutelekeza mtoto Munah Love ameamua kumfuata Mwanae BRYAN akiwa ameambatana na Masanja! Hii imekuja baada ya mwanadada huyo kushambuliwa na mashabiki zake kuwa...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Simba au dangote wa miaka mitatu iliyopita sio huyu wa sasa nadiriki kusema kageuka paka sio simba tena. Simba wa zamani ilikuwa ni ngumu kumkuta bongo ratiba yake ilikuwa booked almost the whole...
3 Reactions
100 Replies
15K Views
Bondia Floyd Joy Money Mayweather amethibitisha kurudi ulingoni desemba mwaka huu kuzichapa kwa mara ya pili na Manny Pacquiao. Katika pambano la mara ya kwanza Floyd aliibuka mshindi kwa...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Jamani naomba kuuliza, kuna yule jamaa aliyekua ni mtangazaji wa Redio 1 kipindi cha nyuma kwa jina Misanya Bingi hivi kaendaga wapi? kuna mtu anataarifa zake nikazipata? Asanteni.
1 Reactions
110 Replies
32K Views
Asubuhi unasema "...hilo lilitarajiwa " kuhusu ushindi wa CCM. Sidhani kama maadili yako ya kazi yanakuruhusu kuonyesha unazi hadharani kwenye media yenye diversity of audience. Rejea maadili...
5 Reactions
41 Replies
6K Views
Msanii aliyekuwepo kundi la wakali kwanza aliyekuwa anafahamika kwa jina la QJay ameingia kwenye wimbi la madawa y kulevya. Q Jay amekuwa mlevi kupindukia na anatumia madawa ya kulevya. Uteja...
4 Reactions
68 Replies
12K Views
Yu wapi mtu huyu? Au ndio wale walivuma ....??!!
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakati Diamond alivokuwa anatoka kimziki alikuwa ana uhitaji wa dancers lakini nyimbo zake za siku hizi hahitaji tena dancers mfano nyimbo alizotoa hivi karibuni, dah wanahuzunisha kweli ata trip...
5 Reactions
163 Replies
22K Views
Mpoki ni mchekeshaji mzuri na kwa kweli ana kipaji au karama ya kazi hiyo. Ametuchekesha na kuyuelimisha muda mrefu na jina lake lilivuma zaidi wakiwa original comedy pale EA Radio na kubwa lao...
12 Reactions
74 Replies
14K Views
MREMBO wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ametoa kali ya aina yake kuwa, katika maisha ya uhusiano, anafurahia kuwa na mwanaume ambaye atampa kipigo kidogo pale anapokosea. Mwanadada huyo...
7 Reactions
150 Replies
14K Views
Wnajamvi mada hapo juu yakukumbusha kama sio mdogo sana kiumri. ITV na Radio One walikuwa na WATANGAZAJI hapo juu. Sijui wapo wapi hivi sasa na wanafanya mini? Mwenye kujua tushirikishane...
2 Reactions
77 Replies
16K Views
Kazi kweli mjini hapa zimevuja voice notes za Hamisa akiongea na mganga amroge Diamond na wazazi wake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila kwa akili yangu fupi sauti sio kabisaa ya...
20 Reactions
537 Replies
60K Views
Habari wakuu, Mi mgeni humu naomba nizungumze kitu..... First naomba niweke wazi kuwa huyu jamaa hajawahi kunichekesha hata siku moja. Nilitabasamu kiduuuuuchu ile clip ya remy ongala...
1 Reactions
93 Replies
13K Views
Back
Top Bottom