komba05
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 367
- 291
Habari zenu wakuu!
Nimefikiria kitu kuhusu huyu jamaa, katika tasnia ya mziki hapa Tanzania! Huyu jamaa yupo vizuri, ukisikiliza nyimbo zake kuna tungo nzuri kwa lugha yetu ya kiswahili fasaha pasipo kuchanganya lugha za kigeni, pia ana mashairi yaliyotulia pasipo kuwa na matusi au misamiati ya kipuuzi!
Hakika jamaa anatisha sana kuliko hata hawa 'waramba midomo' wa sasa.
Ongeza ulichoona kutoka kwa huyu jamaa!
Nimefikiria kitu kuhusu huyu jamaa, katika tasnia ya mziki hapa Tanzania! Huyu jamaa yupo vizuri, ukisikiliza nyimbo zake kuna tungo nzuri kwa lugha yetu ya kiswahili fasaha pasipo kuchanganya lugha za kigeni, pia ana mashairi yaliyotulia pasipo kuwa na matusi au misamiati ya kipuuzi!
Hakika jamaa anatisha sana kuliko hata hawa 'waramba midomo' wa sasa.
Ongeza ulichoona kutoka kwa huyu jamaa!