Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mtangazaji mpya wa WasafiTv anaeitwa Jonijoo, anaenda kuishangaza dunia. Ulimwengu unaenda kuona kipaji cha hali ya juu. Swagga, technics, big brain na ubunifu wa hali ya juu kutoka kwa Jonijoo...
4 Reactions
43 Replies
10K Views
Mama mzazi wa msanii wa Bongo Movies Muna Love, Ritha Moyo amempeleka Polisi mwanaye huyo kwa makosa ya mtandaoni ya kumkana kuwa amefariki, kumtukana na kumkana mjukuu wake aliyeko Moshi mkoani...
5 Reactions
75 Replies
10K Views
Faraja Nyalandu Founder & Executive Director | Shule Direct | Driving Social Change through Innovative Learning Programmes By Faraja Kotta Nyalandu – A Woman I was not always a top performer in...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
1. Turn back the hands of time - Rkelly. 2. So into - fabulous ft tamia 3. Open road - Chrisbrown 4. I need a girl part 2 - Diddy 5. Just a baby boy - Snoop ft tyrese 6. Thong thong - sisqo 7...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwanza kabisa nampongeza ommy Dimpoz kwa kusherekea siku yake ya kuzaliwa. pili naungana naye katika kutoa shukrani kwa Mungu baada ya kutengemaa kwa afya yake. katika ukurasa wake wa instagram...
11 Reactions
37 Replies
7K Views
SIRI imefichuka kuwa mwigizaji wa filamu za Kibongo, Rose Alfonce Nungu almaarufu Muna Love ambaye hivi karibuni alifiwa na mwanaye, Patrick Peter, inasemekana ana mtoto mwingine kinyume na kauli...
7 Reactions
61 Replies
12K Views
Yule Mwanamuziki maarufu wa Muziki wa Dansi aliyewahi kutamba na bendi za Twanga pepeta na Extra Bongo amelazwa kwenye hospitali ya Bugando , na imeelezwa kwamba hali yake hairidhishi. Chanzo...
1 Reactions
223 Replies
37K Views
Ni Marc Dizzo,mchizi w da Skendo miaka ile ya 2000s,jamaa alikuwa anajua sana sema na yeye ndo dizaini ya Kina Jay Mo wakali sana ila nyota hawana.. Dizzo alikuwa member wa Dudu Baya,"Da Skendo"...
2 Reactions
36 Replies
12K Views
Tusaidiane, nani mkali zaidi hapo, tuangalie vigezo viwili tu.. sauti na mashairi.. Karibun
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Wadau huu mwaka tutashuhudia positive music battle kati ya Fiesta na WasafiFestival kwa upande wangu hii battle naichukulia positive kwa ukuaji wa muziki wetu kwa sababu kama mtoto wa juzi diamond...
8 Reactions
46 Replies
6K Views
Muimbaji Shilole amezungumza na Ayo TV pamoja na millardayo.com ambapo amesema kuwa anatamani sana siku moja kuteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Igunga mahali ambapo ndipo alipotokea, Shishi amesema...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za Bongo wa Fleva leo hii amewaka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. Amethibitisha hayo katika post zake za instagram. Wambea hatuna...
4 Reactions
129 Replies
20K Views
kila Siku anatoa hit song duh BACK 2 BACK
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Ameyasema hayo wakati akihojiwa na EATV. Kasema kila shindano alikuwa anashinda, na siri ya Ushindi ni Maomba ya Baba mchungaji wake wa Kiroho. "Mimi naishi magotini mwa bwana". Baada ya...
4 Reactions
61 Replies
11K Views
Msanii wa kibongo anayechipukia aitwae Davista, ameomba kwa mtu yeyte mwenye connection na msanii Tekno aweze kumfanyia mchakato akutane nae kwa maana anaamini kutokana na kufanana kwao kwa kiasi...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Binafsi naiheshimu sana sanaa kwani ni ubunifu ambao mtu anajigundua nao kisha anautumia kwa kujitafutia ridhiki huyu mchekeshaji maarufu kama MC pili pili nimemuona kwenye video moja inayozunguka...
7 Reactions
53 Replies
10K Views
Msanii yupi ambae kwa sasa hivi anafanya vizuri sana kwa katika kazi zake za muziki mwaka huu ni nani ?
1 Reactions
27 Replies
7K Views
Habari. Jana nimesikiliza kipindi cha Ala za Roho ambacho kinaendeshwa na Diva wa Clouds FM. Pamoja na yote aliyoyandaa lakini nilijiuliza sana kwa kile anachokiita Diva Charity kwa maana ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom