Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Aiseh mpaka sijaamini, nimeona video insta gigy akimwaga kingee, yan nikashangaa utadhan sio yeye , gigy anajifanyaga chizi but kichwani kidogo zimo, japokua anachanganya tense but she is so...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Jamaa walikuja kwa kasi sana walivyotoka jela,this time siwaskii tena licha ya ile ngoma yao "Waambie" kuwa nzuri mnoo iliyoshiba meseji ya Matumaini kuonyesha ujio wao mpya nje ya maisha ya jela...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Naomba Ushauri wako juu ya Muziki Wangu - JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he...
17 Reactions
104 Replies
14K Views
RadarOnline Imeripoti kuwa Beyonce na Jay-Z hawana mpango tena wa kurudisha mahusiano bora kati yao na familia ya Kanye West na Kim Kardashian. - Jay Z ,48, na Beyonce ,37, ambao wametajwa kutaka...
2 Reactions
85 Replies
9K Views
Katika pitapita nikakuta blog ya Sammisago akiwa ameandika hii story =============================== Suge Knight asema hana imani kuwa 2 Pac amekufa Share Habari Na Marafiki Zake Kwenye...
1 Reactions
58 Replies
16K Views
Ila mume wangu nae anapenda sifa kama shemej yangu diamond 🤣🤣, sasa jamani Gari si ulipewa jipya au ndo ilikua scraper ? , hayo marekebisho ya Nini? , na utuonyeshe kadi kwa kweli , usije ukawa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu naitwa Marathon Muziki msanii chipukizi Tanzania.Naomba Watanzania wenzangu mnipe maoni yenu kupitia kazi yangu hii mpya please naomba maoni yako bila kusaau kunifollow...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Dj Mafuvu the tantable master, Nimemsikia leo kuanzia alfajiri saa 11 akiamsha kwa ngoma kali, ila nilimsikiliza awali kama majuma kadhaa yaliyopita kwenye XXL, Nikajiuliza ni shamra shamra tu za...
4 Reactions
38 Replies
7K Views
Kama ilivyo mada hapo juu. Mm sio msanii na sio mpenz wa sanaa lakin ni mshabiki Mtakubaliana na mm kuwa, tangu kuanzishwa kwa bongo starsearch waliofanikiwa,wengi mfano harmonize, walishindwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Toa comment yako ulichogundua kwenye hii picha [emoji120] [emoji120]
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Sumbula ni Character iliyojipatia umaarufu mkubwa miongoni mwa watazamaji wa tamthilia ya Sultan nchini tanzania. Tamthilia hii huonyeshwa kwenye King'amuzi cha AzamTv kupitia chaneli yao ya...
5 Reactions
81 Replies
25K Views
Naona katika ukurasa wake wa Insta amepost akiwa amepakatwa na mwanaume aliyemficha sura.
2 Reactions
68 Replies
9K Views
PENZI LA LINAH NA PANCHO LAFICHUKA Kwa tetesi zilizotapakaa jijini Dar kuwa mtayarishaji maarufu wa muziki Pacho Latino toka B-hits anatoka na mwanadada linah na...
0 Reactions
31 Replies
14K Views
Msanii huyo anapotea kwa kasi sana kwenye anga la muziki. Kwa miaka miwili lawama juu ya udhaifu wake walitupiwa Wasafi. Ni muda tangu ajitenge na mafanikio na kuwa peke yake. Tatizo lake huyo...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Inaweza kuwa sio Wahindi-Watanzania wote wana mapenzi ya kweli na Tanzania. Lakini bila ya shaka kuna baadhi yao ni wazalendo kutushinda waasili wenyewe. Kweli kuna sababu ya kuwa na wasiwasi na...
0 Reactions
95 Replies
16K Views
Staa wa Pop Selena Gomez '26' amelazwa kwenye hospitali ya wagonjwa wa akili baada ya kupata matatizo ya AKILI Na Msongo Wa Mawazo. Selena alilazwa hospitalini mara mbili wiki mbili zilizopita...
9 Reactions
117 Replies
12K Views
Majina ya nyota hawa wawili wa hollywood yananifanya niwaze kwa sauti kutokana na kuwa na uhusiano na lugha ya kiswahili Michael B Jordan ambae jina lake limekuwa likifananishwa na mcheza...
5 Reactions
101 Replies
12K Views
MWAKA 2007 (miaka 11 iliyopita), nilisoma jarida la Forbes. Mahojiano mazuri na tajiri mwenye mawe mengi, Warren Buffett. Kipindi hicho, Buffett alikuwa tajiri namba mbili duniani, nyuma ya Bill...
5 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom