Aiseh mpaka sijaamini, nimeona video insta gigy akimwaga kingee, yan nikashangaa utadhan sio yeye , gigy anajifanyaga chizi but kichwani kidogo zimo, japokua anachanganya tense but she is so...
Jamaa walikuja kwa kasi sana walivyotoka jela,this time siwaskii tena licha ya ile ngoma yao "Waambie" kuwa nzuri mnoo iliyoshiba meseji ya Matumaini kuonyesha ujio wao mpya nje ya maisha ya jela...
Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he...
RadarOnline Imeripoti kuwa Beyonce na Jay-Z hawana mpango tena wa kurudisha mahusiano bora kati yao na familia ya Kanye West na Kim Kardashian. - Jay Z ,48, na Beyonce ,37, ambao wametajwa kutaka...
Katika pitapita nikakuta blog ya Sammisago akiwa ameandika hii story
===============================
Suge Knight asema hana imani kuwa 2 Pac amekufa
Share Habari Na Marafiki Zake
Kwenye...
Ila mume wangu nae anapenda sifa kama shemej yangu diamond 🤣🤣, sasa jamani Gari si ulipewa jipya au ndo ilikua scraper ? , hayo marekebisho ya Nini? , na utuonyeshe kadi kwa kweli , usije ukawa...
Habari ndugu zangu naitwa Marathon Muziki msanii chipukizi Tanzania.Naomba Watanzania wenzangu mnipe maoni yenu kupitia kazi yangu hii mpya please naomba maoni yako bila kusaau kunifollow...
Dj Mafuvu the tantable master, Nimemsikia leo kuanzia alfajiri saa 11 akiamsha kwa ngoma kali, ila nilimsikiliza awali kama majuma kadhaa yaliyopita kwenye XXL, Nikajiuliza ni shamra shamra tu za...
Kama ilivyo mada hapo juu. Mm sio msanii na sio mpenz wa sanaa lakin ni mshabiki
Mtakubaliana na mm kuwa, tangu kuanzishwa kwa bongo starsearch waliofanikiwa,wengi mfano harmonize, walishindwa...
Sumbula ni Character iliyojipatia umaarufu mkubwa miongoni mwa watazamaji wa tamthilia ya Sultan nchini tanzania.
Tamthilia hii huonyeshwa kwenye King'amuzi cha AzamTv kupitia chaneli yao ya...
PENZI LA LINAH NA PANCHO LAFICHUKA
Kwa tetesi zilizotapakaa jijini Dar kuwa mtayarishaji maarufu wa muziki Pacho Latino toka B-hits anatoka na mwanadada linah na...
Msanii huyo anapotea kwa kasi sana kwenye anga la muziki. Kwa miaka miwili lawama juu ya udhaifu wake walitupiwa Wasafi.
Ni muda tangu ajitenge na mafanikio na kuwa peke yake. Tatizo lake huyo...
Inaweza kuwa sio Wahindi-Watanzania wote wana mapenzi ya kweli na Tanzania. Lakini bila ya shaka kuna baadhi yao ni wazalendo kutushinda waasili wenyewe.
Kweli kuna sababu ya kuwa na wasiwasi na...
Staa wa Pop Selena Gomez '26' amelazwa kwenye hospitali ya wagonjwa wa akili baada ya kupata matatizo ya AKILI Na Msongo Wa Mawazo.
Selena alilazwa hospitalini mara mbili wiki mbili zilizopita...
Majina ya nyota hawa wawili wa hollywood yananifanya niwaze kwa sauti kutokana na kuwa na uhusiano na lugha ya kiswahili
Michael B Jordan ambae jina lake limekuwa likifananishwa na mcheza...
MWAKA 2007 (miaka 11 iliyopita), nilisoma jarida la Forbes. Mahojiano mazuri na tajiri mwenye mawe mengi, Warren Buffett. Kipindi hicho, Buffett alikuwa tajiri namba mbili duniani, nyuma ya Bill...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.