Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
Balozi Daraja inasemekana alifukuzwa kazi akiwa katika msafara wa Rais nchini marekani, baada ya muda wake waziada kuisha , na kurudi nyumbani kwa kupangiwa kazi nginine, muheshimiwa huyu kwa sasa hana kazi,
kwa wachunguzi wa mambo wanasema hakuwa mwanamtandao, hayo ndiyo matumda yake, pia hakupenda muungwana kuukwa Urais
mwenye habadi zaidi atuwekee hapa JF.
kwa wachunguzi wa mambo wanasema hakuwa mwanamtandao, hayo ndiyo matumda yake, pia hakupenda muungwana kuukwa Urais
mwenye habadi zaidi atuwekee hapa JF.