Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Madam original Irene Uwoya milango ya neema inazidi kumfungukia kila kukicha. Club ya Irene Uwoya ambayo itafunguliwa rasmi mwaka huu december 25 itakuwa ni Club kali kuliko night club yoyote ile...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Mwanamuziki na Muandaaji wa muziki nchini Marekani, Pharrell Williams amemlima barua Rais wa Taifa hilo, Donald Trump inayomtaka asitumie tena wimbo wake wa ‘HAPPY’ kwenye shughuli zake za...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakati Bodi ya Filamu ikiwa imemfungia mwigizaji na mfanyabiashara Wema Sepetu kwa mda usiojulikana kujihusisha na masuala ya filamu, huku Chama cha Waigizaji Wilaya ya Kinondoni (TDFAA)...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
kwa watoto waliozaliwa miaka ya hivi karibuni sio rahisi kumfahamu,labda wam-google. huyu ni moja ya mwana-RnB aliyetamba sana katikati na mwishoni mwa miaka ya "tisaini"(nimeitamka kihenga)...
23 Reactions
71 Replies
14K Views
. The model nailed the Queen's look with her curly white hair and colourful coat, complete with her iconic block-heeled court shoes and the patent black handbag she is always seen carrying...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Beyoncé Giselle Knowles (alizaliwa 4 Septemba 1981), anayefahamika zaidi kwa jina moja Beyoncé pronounced /biˈjɒn.seɪ/ ni mwimbaji wa R & B, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji na...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Msanii wa muziki wa Bongofleva na Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma, Crayton Chipando (Baba Levo), amesema kitambi cha Peter Msechu kinatokana na kurogwa. Baba Levo amedai Peter...
4 Reactions
23 Replies
8K Views
Anayejua alipo mwanadada huyu anambie au ndo bangi za kibongo zishammeza
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Mjela jela Papii Kocha hatimaye apata mtoto wa kiume ndani ya muda mfupi tu tangu atoke jela. Ila mpaka sasa bado hatujamjua shemela wetu.
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Huyu jamaa Castodickson nitamlaumu milele kwa kumuacha mtoto wake mpaka kaharibika kitabia kwa kuiga mambo ya kiume ume na mbaya zaidi baba yake anamtazama tu. Casto ana mtoto anaitwa Fatuma au...
3 Reactions
47 Replies
9K Views
Licha ya kupitia kwenye mahusiano na wanawake lukuki, Mwanamieleka maarufu duniani, John Cena ameonekana nafsi yake kufedheheka kwa kukosa mtoto. John Cena (41) ambaye ameshapitia kwenye maisha ya...
2 Reactions
34 Replies
10K Views
The ongoing Feud between Nicki Minaj and Cardi B has turn to centre of accusations from both sides prompted outside players to confirm and/or deny claims from both parties. Cardi claimed in one...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wasalaam Kati ya watu au wasanii wenye vipaji hapa nchini vya kuimba ni Aslay.... Aslay anao uwezo mkubwa sana tena sana... Lakini kwa hivi karibuni muziki wake umeanza kuyumba kabisa na hata ile...
8 Reactions
108 Replies
19K Views
Chama cha waigizaji mkoa wa Kinondoni (TDFAA) kimemfungia mwanachama wake Wema Sepetu kujihusisha na masuala ya filamu kwa muda wa miaka miwili. Huo ni mwendelezo wa adhabu kwa mwigizaji huyo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu? Nasikia ni Mhubiri, je kanisa lake liko wapi?
4 Reactions
517 Replies
115K Views
I won't do justice if I comment In swahili for this new glitz and glamorous look of Hamisa Mobetto, the Queen without a throne. This is the one of the most gorgeous trending pic on instagram for...
15 Reactions
93 Replies
12K Views
Mwanadada Hamisa Mobeto amekiri kuwa mzazi mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alimpa gundu. Hamisa alitoa kauli hiyo hivi karibuni kwa hoja kwamba katika kipindi...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Kiongozi wa G-Unit, 50 Cent ameendelea kumuandama Ja Rule ambapo wiki hii amezua jambo kwa kununua tiketi 200 za viti vya mbele vya tamasha la hasimu wake huyo ili viwe wazi. Ja Rule anajiandaa...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Siri imefichuka ,kumbe staa wa filamu nchini na aliyekuwa miss tanzania 2006, wema isaac sepetu anadaiwa kuwa mke wa mtu, inasemekana staa huyo alifunga ndoa na mjasiriamali aitwaye yusuph jumbe...
2 Reactions
54 Replies
12K Views
Lile penzi lililokuwa gumzo kwa muda wa siku chache zilizopita kati ya Diamond na mwanadada Kim nana limefika mwisho baada ya mwanadada huyo kutupiwa mabegi nje katika gate la Diamond Platinumz...
3 Reactions
47 Replies
11K Views
Back
Top Bottom