Irene Pancras Uwoya kiukweli ni mzuri na mastaa wengi wa kike na wakiumw huwa wanampa sifa yake ya uzuri ila tuseme ukweli kabisa bila kung'ata maneno ,Tunda ni mzuri mara kumi ya huyo Uwoya sema...
Ni shabiki wake sana, japo nampenda zaidi Dully Sykes. Jamaa nilimuona Posta mwezi huu mwanzoni, nikamwita "Simbaa". Hakuitika nikamwita tena akiwa mbali hakuskia ila kuna kabaunsa kakamgusa...
Nimesikiliza nyimbo nyingi sana kwa kweli japokua muziki umejaa vichaa mimi sijawahi kuona mwanamziki wa muziki wowote ule anamtukana MUNGU waziwazi hata kimya kimya mimi sijui.
Ni jambo gumu sana...
Sasa Mama tawile umetoka kwa diamond unaenda kwa billnass? Au ndo stress zinakusumbua? , na Nandy si ni shoga yako jaman ? Yani mastaa wa bongo kwa kushea ndo wanaona fashion , Ila shoga yangu...
Wanajamvi tumekuwa na msuguano kuhusu Urai wa Jenerali KAMAZIAMA; kuhusu uraia wake na hili linaturudisha kule kule kuwa asili ya miss Tanzania ni Mnyarwanda.
Uchunguzi uanze upya
Jamani namfollow huyu bidada insta , Ila siku hizi anaboa na post zake za ulimbukeni na wazungu wake , mpaka mda mwingine natamani kabisa kum unfollow sema na Mimi kupenda umbea sasa mxieew ...
Ndio, ndo ukweli. Wameachana miezi mitano na katika kipindi hicho huwezi jua kama diamond alikuwa anatumia kinga au lah, kwanza nashangaa kwanini masuperstaa wanapiga gemu mara kwa mara tena bila...
Hakika wasanii wa Tanzania wanashangaza sana baada ya vyombo vya habari kutangaza kuwa msanii hawa anaumwa na anahitaji matibabu nje ya nchi niliamini wasanii wangejitokeza kwa wingi kumsaidia...
Mimi na uanaume wangu huu lakini serikali ya jiwe naiogopa kama nini
Naogopa kusema chochote
Lakini huyu ney wamitego hasikii naona bado anamsimamo, wasanii wote wameufyata
Kuna bwana mdogo...
Aiseh mpaka sijaamini, nimeona video insta gigy akimwaga kingee, yan nikashangaa utadhan sio yeye , gigy anajifanyaga chizi but kichwani kidogo zimo, japokua anachanganya tense but she is so...
Jamaa walikuja kwa kasi sana walivyotoka jela,this time siwaskii tena licha ya ile ngoma yao "Waambie" kuwa nzuri mnoo iliyoshiba meseji ya Matumaini kuonyesha ujio wao mpya nje ya maisha ya jela...
Haya mambo anayofanya Diamond mitandaoni , hata wadogo zake akina young na dogo janja hawafanyi hivyo , diamond is no longer in experimental phase , kashafanya upuuzi wote, umri umeenda now , he...
RadarOnline Imeripoti kuwa Beyonce na Jay-Z hawana mpango tena wa kurudisha mahusiano bora kati yao na familia ya Kanye West na Kim Kardashian. - Jay Z ,48, na Beyonce ,37, ambao wametajwa kutaka...
Katika pitapita nikakuta blog ya Sammisago akiwa ameandika hii story
===============================
Suge Knight asema hana imani kuwa 2 Pac amekufa
Share Habari Na Marafiki Zake
Kwenye...
Ila mume wangu nae anapenda sifa kama shemej yangu diamond 🤣🤣, sasa jamani Gari si ulipewa jipya au ndo ilikua scraper ? , hayo marekebisho ya Nini? , na utuonyeshe kadi kwa kweli , usije ukawa...
Habari ndugu zangu naitwa Marathon Muziki msanii chipukizi Tanzania.Naomba Watanzania wenzangu mnipe maoni yenu kupitia kazi yangu hii mpya please naomba maoni yako bila kusaau kunifollow...
Dj Mafuvu the tantable master, Nimemsikia leo kuanzia alfajiri saa 11 akiamsha kwa ngoma kali, ila nilimsikiliza awali kama majuma kadhaa yaliyopita kwenye XXL, Nikajiuliza ni shamra shamra tu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.