fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,648
HABARI ZA WEEKEND WAKUU
wakubwa shikamooni na poleni na mihangaiko ya weekend twende kwenye point
kama heading inavyosomeka hapo juu....hawa nitakaowataja naona ndio maproducer(bora) ambao wamepika kazi nzuri sana kwa mwaka huu 2018.....
kuna
(1) S2KEEZY
(2)LIZER MAGIC
(3)ABAH PROCESS
(4)KIMAMBO
(5)RINGTONE
(6)BONGA{yule aloproduce ngoma za lavalava utatulia nitake nini prof jay nk:}
(7)BLAQ
(8)MESEN SELEKTA{ngoma yake ya kinanda ndo imekua kazi nzuri alizoproduce kwa mwaka huu}
(9)MAXMIZER
(10)EMA THE BOI
mr t touch mwaka huu hatoa hit songz kabisa inabidi ajipange kwa kweli vijana wamechachamaa
hapo ni upande je kwa upande wako una maoni gani mdau
wakubwa shikamooni na poleni na mihangaiko ya weekend twende kwenye point
kama heading inavyosomeka hapo juu....hawa nitakaowataja naona ndio maproducer(bora) ambao wamepika kazi nzuri sana kwa mwaka huu 2018.....
kuna
(1) S2KEEZY
(2)LIZER MAGIC
(3)ABAH PROCESS
(4)KIMAMBO
(5)RINGTONE
(6)BONGA{yule aloproduce ngoma za lavalava utatulia nitake nini prof jay nk:}
(7)BLAQ
(8)MESEN SELEKTA{ngoma yake ya kinanda ndo imekua kazi nzuri alizoproduce kwa mwaka huu}
(9)MAXMIZER
(10)EMA THE BOI
mr t touch mwaka huu hatoa hit songz kabisa inabidi ajipange kwa kweli vijana wamechachamaa
hapo ni upande je kwa upande wako una maoni gani mdau