Huyu jamaa wasanii wenzake walimtenga kipindi kile alichofiwa na baba yake mzazi kwa sababu na yeye huwa hajishughulishi na wasanii wenzake kwenye misiba.
Sasa wasanii wenzake walimtenga ili...
Kuelekea katika pambano lake litakalofanyika siku ya tarehe 23 March,bondia Hassan Mwakinyo amepata bahati ya kunolewa na bingwa wa dunia katika uzito wa juu ,Anthony Bellew au Tony Bellew .
Hii...
Ushauri wangu kwa Diamond kua wakati ni ukuta na hakuna anaeweza kupambana nao.
Hakuna asiejua kua kwa miaka 8 iliyopita Diamond ametawala kwenye soko la muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania na...
Niaje masela na sisterdu kama kawa kama gwala niko hapa kukuletea kajina ka haka kabinti kamoja kutoka bongo freva kabinti ambako huwa nakapenda sana
Yaan hako kabinti kana sauti tamu ni balaa...
Hebu msikilizeni huyu Ezden! Yaani anatia huruma kweli.
Anakiri mwenyewe kuwa Dida alikuwa anamzidi kipato....halafu eti baada ya kufunga ndoa akaenda kuishi nyumbani kwa Dida.
What a dummy...
Nimepita kwenye 'page' yao nikakutana na hiki, ikumbukwe kwamba jana ndo wamemtambulisha mtangazaji aliyekamilisha utatu mtukutu ndugu yetu Paul James na kuonekana kuwa na yeye ni miongoni mwa...
Wakuu habarini za wakati huu hopefully mko vyema ngoja niende direct kwenye mada baada ya kipindi cha Jahazi kinachoruka kila siku za jumatatu hadi ijumaa saa10 hadi saa1 ucku pale Clouds FM...
Naomba kuuliza jamani, hivi hawa watu wanaotaka watu wa like na kushare picha zako na kuwalagai kwa zawadi ambayo ukweli hawazitoi, wana mlengo gani? Hivi wanawaona watu ni wajinga sana kwa...
Bodi ya Uainishaji wa Filamu ya Kenya (KFCB) kupitia Afisa Mkuu Mtendaji Ezekiel Mutua anasema bodi hiyo haitaruhusu watoto kuimba wimbo ambalo alisisitiza una ujumbe ambayo ni kinyume cha...
Hivi kuna mtu anajua maisha ya Misri yakoje?
Kulindanisha na Dubai
mwenye kujua naomba atufahamishe maana ndio watu wanataka kuhamia huko mwa ma firauni au nchi ya firauni (PHARAOHS)
Huyu jamaa alikuwa anajiita Buibui alitamba na wimbo wa nimekusamehe miaka ya nyuma kidogo??
Juzi tuu msanii Alice keyla alifanya cover ya huu wimbo ikabidi nimkumbuke mwenye wimbo! Ingia YouTube...
KAMA kuna kitu kinakukwaza ndani ya moyo wako, siku zote ukikaa nacho kitazidi kukuumiza lakini ukiamua kumtafuta mtu ambaye umeshibana naye na kumsimulia, moja kwa moja utakuwa umeutua mzigo...
Kuna kitu kinaendelea Insta na ni dalili kuwa Idris Sultani na Wema Sepetu wamebwagana Baada ya Idris kugundua hamna Cha kijachoo!
Nimeona Nay wa mitego kapost na Soudy naye akarepost alicho...
Mwanamuziki wa miondoko ya soukous na rhumba nchini Congo, Koffi Olomide amehukumiwa kifungo cha miaka miwili nje na Mahakama ya Ufaransa kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mnenguaji wake wakati akiwa...
Nilikuwa napitia vipande vya show ya Chris Brown aliyofanya Mombasa, yaani kwa jinsi alivyoperform sio yule Chris Brown nnayemjua mimi, ukiangalia show anazozifanyaga Marekani na Ulaya sidhani...
Aliekua Mpenzi wa Ruge Mutahaba ambae pia ni mzazi mwenzake,Zamaradi Mketema ambae amewahi pia kuwa mtangazaji pale Clouds Media Group(CMG)
katika kipindi cha Take One kilichokua kikiruka Clouds...
Staa wa Filamu za Kibongo, Yvonne Sherry ' Monalisa ' hivi karibuni aliweka wazi kuwa anatamani kuolewa lakini hajampata wa kumuoa .Monalisa alifunguka maneno hayo baada ya uvumi kuenea kuwa...
Mimi ni mpenzi wa kipindi cha jahazi ila ukweli hiki kipindi bila kibonde (RIP) kimepwaya, Captain na George Bantu nawaomba msikate tamaa hizi ni changamoto za maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.