Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ni neno analopenda kulitumia Diamond na Bila shaka kuna watu wengi tu wanaojiuliza nin kilefu ama maana ya WCB. kwanza ifahamike WASAFI. siyo neno tu la kujifurahisha.kwamba diamond huwa...
1 Reactions
90 Replies
46K Views
Kingbae wake Kumbe mburula tu kama dai ..aache kuvamia vitoto ..awe na age ya kila le mutuzus le super mbebez ...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Yaan kikitokea kifo waswahili lazima tutafuta mchawi nan Hakika bila shaka jack na mzee mengi walikuwa na mapenzi ya dhati walipendana kiukweli hawez kufanya upuuz huo wanaoufikiria hususan kwa...
13 Reactions
270 Replies
25K Views
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams. Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA...
13 Reactions
103 Replies
19K Views
Ila Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua...
36 Reactions
445 Replies
57K Views
Few days after her husband departed, Jina la JACKY MENGI ndio Jina liliongozwa kutajwa zaidi kwenye mitandao ya kijamii, umaarufu wake umeongezeka maradufu Mara Mia ya ilivyokua awali kabla ya...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Kati ya watangazaji wa Clouds FM waliopewa nafasi na hawajui kutangaza basi huyu ni mmoja wao..anachapia mfano hakuna,hawezi kusoma habari(Tangazo let say)...Anabrag brag tu... Sio wivu ,ila...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Just have a look at people ambao zari Ana hang out nao, then kabisa bila aibu tulikua tunamfananisha na vikatuni vyetu vya hapa bongo ambavyo havijielewi, Ila wabongo Tuna dhambi, zari is a woman...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Mzee Reginald Mengi ndiyo keshaondoka duniani na Mke wake Jacqueline Ntuyabaliwe kabakia kutunza familia yao. Kwa kufuatilia Maisha yake baada ya kuolewa na Mzee Mengi nimebaki na swali kama...
9 Reactions
126 Replies
16K Views
David Beckham amepigwa marufuku kuendesha gari kwa miezi sita baada ya kupatikana akitumia simu wakati akiendesha gari. Kapteni huyo wa zamani wa England amekiri makosa. Mahakama imearifiwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndani ya muda mchache huyu Pampula kapotezwa maboya watu wameshampotezea.Matukio ya kufuatana ya Msiba Wa Mengi , Mitusi ya Bashite msibani, Video feki ya Gwajima n.k. Sidhani kama ile ahadi ya...
14 Reactions
30 Replies
4K Views
1) Kapata forum mbele ya jeneza la mchaga, kuwashambulia wachaga kuwa ni wagumu sana kusaidia walemavu na wahitaji. 2) Kusambaa kwa video chafu ya ng'ono inayodaiwa ni ya hasimu wake mkuu Askofu...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Ndugu wanabodi kwanza nitangulize kuomba radhi kama nitakuwa nimemgusa mtu kwa namna moja au nyingine kwa maneno nitakayo yasema kuusu binti huyu Irene Uwoya Hivi karibuni binti huyu alifungua...
3 Reactions
155 Replies
17K Views
Achana na HUDDAH na VERA ambao they don't have any specific goals in life other than flying with emirate first class to dubai and around the globe wakishinda ku post pic and buying most expensive...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar amerekodiwa akipewa mikono na baadhi ya wananchi sijui sehemu gani lakini kwa jinsi mazingira yalivyo ni maeneo ya Moshi, ukiangalia watu walioandaliwa kujifanya wanalia na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mbali na matatajio ya wengi tulivyotarajia kuwa Gwajiboy angekiri kuwa ile kideo ilikuwa yake na pengine angeomba msamaha, ajiuzulu au kuelezea ilivuja vipi. Gwajiboy akachomoa kama walivyochomoa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna msemo wa kizungu usemao " Face is the mirror of mind" , kitu chochote kilicho ndani ya mioyo ya binadamu hudhihirika kupitia sura( macho). Ndio maana hata wana psychology na wapelelezi wengi...
8 Reactions
91 Replies
14K Views
The Golden Boy Oscar De La Hoya amtaka Errol Spence apande uzito ili amchallange Saul Arvarez (Canelo) .Oscar De La Hoya amesema mbona Mickey Garcia alikubali kupanda uzito ili apambane na yeye...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Prenup agreement ni kitu kizuri mno .its simple tunaoana kwa mapenzi pesa zangu Kabla ya ndoa haugusi .
3 Reactions
53 Replies
7K Views
Mume wa Flora Mbasha katikat ya mwaka huu baada ya kutifuana na mkewe alimnyoshea kidole Mchungaji Gwajima kuhusika na mkasa katika ndoa yake na mkewe Flora. Tuhuma nzito zilielekezwa kwa...
2 Reactions
58 Replies
13K Views
Back
Top Bottom