Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Unapokuwa na cheo kama cha mkuu wa mkoa jaribu kujiheshimu hata kama una moyo mweusi na umezaliwa na chuki moyoni mwako unapochanganya mambo ya wasafi vs ali kiba kumu attack mtu ambaye hana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda sana kusikiliza East Africa Radio (EA radio) Super Mix, Kipenga Extra na East Africa Drive (Ndinga mpya Town). Vipindi hivi vitatu huwa nikipata muda navisikiliza maana watangazaji...
9 Reactions
70 Replies
20K Views
Jana nlkwa nikicheki movie moja ya kanumba FAMILY TEARS basi humo nikamuona Tena Richard benzouidenhout..ambae alikwa mshindi wa big br 2006.. Huyu mwamba amepotea Sana. Wadau hv Yuko Wap huyu...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Kila wimbo mnaotoa kwa sasa mnasifu tendo la ndoa, bora hata mngekuwa mnaimba issues zingine za mapenzi hapo sawa. Yani hata huu wimbo mpya wa dada yetu Queendarleen ni mrengo uleule, tena kaamua...
18 Reactions
77 Replies
12K Views
Piere Konki Liquid kuna uwezekano mkubwa akawa sio mzima huyu. Hivi inawezekana kweli mwanaume rijali ukawa na miaka 42 huna mke, demu wala mchumba, hata wale wanawake wanaojiuza hujawahi...
2 Reactions
51 Replies
9K Views
Siku ya 22 katika mwezi wa July mwaka 1992 maeneo ya Grand Prairie katika jimbo la Texas nchini Marekani binti mwenye umri wa miaka 16 aliyejulikana kwa jina la Amanda Dawn Cornet anafanikiwa...
11 Reactions
39 Replies
6K Views
Nani ana namba ya Hamissa Mobetto au mama Dylan kama anavyoitwa na Nasib Abdul, mpigieni mwambie tunajua maisha ya mtanzania yamekuwa magumu sana sema aache kuvamia kazi za watu. Maana...
11 Reactions
57 Replies
8K Views
Hasheem Thabeet ni Mtanzania aliyezaliwa tarehe 16 February 1987. Ni mchezaji wa mpira wa kikapu ambaye ni hazina kwa Taifa letu. Licha ya muda wake mwingi kuutumia nchini Marekani katika timu ya...
1 Reactions
241 Replies
26K Views
Akiongea na tv fulani ya youtube Chidi alisema maneno haya machache, " muziki wa sasa umekuwa ni kitu cha hatari, ni either unakuwa Wasafi au unakuwa Wachafu. La sivyo utamalizwa". Ni maneno...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Msanii nyota wa bongo fleva diamond platnumz ameajikuta akitukanana na mrembo lyyn Ni video vixen Diamond amemtuhumu mrembo huyo kutaka kuwatenganisha na mpenzi wake tanasha, daimond amepost...
0 Reactions
28 Replies
10K Views
Hii Video ya huu wimbo aliotoa leo si wa nchi hii, nazidi kumuona mbali kina Physics wataendelea kupanga foleni
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Jiwe walilolikataa waashi sasa linakua jiwe kuu la taifa,hongera vijana kwa kuipamba furaha ya nchi na kusindikiza ushindi wa safari ya AFCON.....picha inajieleza zaidi.
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Habari za jioni wanajamii forum,ivi tofauti kati ya Celebrity na Superstar ni ipi? na kipi ni kigezo cha kumpa mtu ucelebrity au Usuperstar!.. Na ni kweli bongo kuna hao watu (Celebrity na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanabodi, Kama mlivyoshuhudia commitment ya Mheshimiwa Rais Magufuli kuinua vipaji, kuwasaidia wanamichezo na wasanii hapa nchini, nawashauri Wasanii wetu wajitahidi kuiwakilisha Tanzania vizuri...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Jussie Smollett: Charges dropped against 'Empire' star Muke ya Muzungu AKA Natalie pita huku. I told you that MO is too smart to involve herself in any reckless decision.
1 Reactions
1 Replies
822 Views
Kiukweli jamani naomba ufunguke.... Please thing twice nani TANZANIA anafaa kuitwa MC naona kila kona watu wanajiita ma MC sijui wanafata vigezo gani..?
0 Reactions
176 Replies
29K Views
Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, Adam Mchomvu ni mmoja kati ya wabunifu wa mavazi wachanga watakaopelekwa na THT nchini China kujifunza zaidi fani hiyo. Akiongea kweye 255 ya XXL...
3 Reactions
35 Replies
15K Views
Akili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa...
3 Reactions
65 Replies
7K Views
Mchekeshaji na MC maarufu bongo Mc Pilipili asema amepangiwa mahali ya milioni 8 ili kumchumbia mpenzi wake anaetarajia kumuoa hivi karibuni na tayari ameshatoa milioni 5 Pilipili pia ameongeza...
3 Reactions
187 Replies
23K Views
#idontcare Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
142 Replies
26K Views
Back
Top Bottom