Martha Mwaipaja atoboa siri sakata la Rose Muhando

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando .

Martha ameeleza jinsi Rose alivyojiingiza kwenye madawa ya kulevya na jinsi alivyolazimika kujihusisha kimapenzi na meneja wake aitwaye Nathani.

Martha anaeleza kuwa vita ya kiroho ilimuelemea Rose Muhando. Rose Muhando ana meneja wake aitwaye Nathan ambaye ndiye aliyemtoa kimuziki mpaka akafahamika. Kiufupi huyo meneja wake ndiye aliyegharamia gharama zote za kurekodi albamu ya kwanza ya Rose Muhando baada ya kuachana na kitimtimu kwaya. Rose Muhando aliingia mkataba na Nathan ambao kwa mujibu wa Martha Mwaipaja ulikuwa ukimkandamiza Rose Muhando na kumnufaisha meneja.

Martha Mwaipaja anayedai amekuwa karibu na Rose Muhando kiasi cha kumueleza kila lililomsibu anatolewa mfano kwamba ili umualike Rose Muhando kwenye show ni lazima uingize milioni mbili kwenye akaunti ya Nathan, halafu laki tano utampatia Rose Muhando atakapokuja kupafomu. Hivyo Rose Muhando akitoka kwenye show anapewa laki tatu kwenye hiyo milioni mbili na inayobaki yote anachukua meneja. Ilifika hatua ikawa meneja akila pesa za watu mbalimbali na kumlazimisha Rose ajaperform na mara nyingine Rose aligoma kwenda na matokeo yake alikuwa akipata lawama za utapeli mara kwa mara.

Martha Mwaipaja anaendelea kueleza kwamba Nathan alitumia nafasi yake ya umeneja kumtumia Rose Muhando kimapenzi pamoja na kuwa alikuwa mume wa mtu. Rose Muhando alijaribu kupambana na hali hiyo lakini mwisho wa siku akajikuta akijihusisha kimahusiano na meneja wake huyo.

Meneja alimtumia Rose Muhando kimapenzi na kiuchumi, kuna kipindi Rose Muhando alipata mchumba mwingine ambaye alitaka kumuoa lakini alikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Nathan. Martha Mwaipaja anasema mchumba huyu aliyekuwa rafiki wa karibu wa Masanja mkandamizaji alipata vitisho vikali kutoka kwa Nathan. Yeye Martha na Masanja ndiyo waligeuka wasuluhishi wa kutafuta utatuzi wa hali hiyo. Martha anasisitiza kuwa Nathan hakupenda Rose Muhando aolewe na mtu mwingine, wakati Rose Muhando akiwa amechoka kuzini na Nathan akijitakia ndoa yake mwenyewe. Kuna siku Nathan alimnyoishea bastola kwa muda wa dakika tano akimtishia asimuache kwenda kwa huyo mchumba wake mpya.

Rose Muhando ndiye aliyekuwa akimhudumia mchumba huyu mpya kwani alikuwa na hali duni kifedha. Rose alifikia hatua ya kumjengea nyumba kwao kwa wazazi wa mchumba wake huyu mchumba wake. Kama wahenga wasemavyo bora umfadhili mbuzi utakula mchuzi Rose alimfumania mchumba huyu mpya na mwanafunzi wa shule laivu bila chenga.

Rose Muhando alichanyikiwa na akajikuta amerudi tena na kuangukia kwenye penzi la meneja wake Nathan ambaye ni mme wa mtu.

Martha anasema Rose Muhando alitumikishwa kwa show zisizokoma na ilifika hatua anachoka anaishiwa nguvu anaanguka jukwaani anatolea mfano alivyoanguka madhabahuni kwa Rwakatale. Martha Mwaipaja anasema Rose Muhando alikuwa si mtu wa furaha muda mwingi alikuwa akilia awapo peke yake. Martha Mwaipaja anasema Rose Muhando alimwambia kwa uchungu kuwa anafanya kazi ngumu lakini anawafanyia watu wengine.

Ili kuondoa uchovu na stress kutokana na wingi wa matamasha ambayo Nathan alikuwa ameshakula pesa, Nathan alimlazimisha Rose kunywa vilevi ili akaperform bila kuchoka haraka, Martha Mwaipaja anasema alishuhudia hili kwa macho yake kwenye show ya mwanza.

Ilifika hatua pombe zikawa hazifui dafu ikawa zamu sasa ya madawa ya kulevya, ikafika hatua haimbi tena amekuwa teja na ndiyo hali Rose Muhando aliyonayo sasa.

Martha Mwaipaja anaeleza kuwa Rose Muhando alipoamua kujinasua kwa meneja wake huyo alipata vitisho vikali kutoka kwa Nathan na Msama wa msama promotion waliomtisha kuwa kama ataachana na huyo meneja atapoteana kimuziki.

Martha Mwaipaja anasema tumuombee Rose Muhando badala ya kumhukumu. Waimbaji wa nyimbo za injili wamechukua nafasi ya shetani, shetani ndiye alikuwa kiongozi wa sifa kabla ya kutupwa kuzimu. Hivyo shetani anawawinda sana kwani wamechukua nafasi yake.

NB: Nimeshindwa kuipandisha Audio clip ya Martha Mwaipaja akiongea.

UPDATES
Clip za Martha Mwaipaja akisimulia sakata la Rose Muhando

Part one





Part two

 
Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando .

Martha ameeleza jinsi Rose alivyojiingiza kwenye madawa ya kulevya na jinsi alivyolazimika kujihusisha kimapenzi na meneja wake aitwaye Nathani.

Martha anaeleza kuwa vita ya kiroho ilimuelemea Rose Muhando. Rose Muhando ana meneja wake aitwaye Nathan ambaye ndiye aliyemtoa kimuziki mpaka akafahamika. Kiufupi huyo meneja wake ndiye aliyegharamia gharama zote za kurekodi albamu ya kwanza ya Rose Muhando baada ya kuachana na kitimtimu kwaya. Rose Muhando aliingia mkataba na Nathan ambao kwa mujibu wa Martha Mwaipaja ulikuwa ukimkandamiza Rose Muhando na kumnufaisha meneja.

Martha Mwaipaja anayedai amekuwa karibu na Rose Muhando kiasi cha kumueleza kila lililomsibu anatolewa mfano kwamba ili umualike Rose Muhando kwenye show ni lazima uingize milioni mbili kwenye akaunti ya Nathan, halafu laki tano utampatia Rose Muhando atakapokuja kupafomu. Hivyo Rose Muhando akitoka kwenye show anapewa laki tatu kwenye hiyo milioni mbili na inayobaki yote anachukua meneja. Ilifika hatua ikawa meneja akila pesa za watu mbalimbali na kumlazimisha Rose ajaperform na mara nyingine Rose aligoma kwenda na matokeo yake alikuwa akipata lawama za utapeli mara kwa mara.

Martha Mwaipaja anaendelea kueleza kwamba Nathan alitumia nafasi yake ya umeneja kumtumia Rose Muhando kimapenzi pamoja na kuwa alikuwa mume wa mtu. Rose Muhando alijaribu kupambana na hali hiyo lakini mwisho wa siku akajikuta akijihusisha kimahusiano na meneja wake huyo.

Meneja alimtumia Rose Muhando kimapenzi na kiuchumi, kuna kipindi Rose Muhando alipata mchumba mwingine ambaye alitaka kumuoa lakini alikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Nathan. Martha Mwaipaja anasema mchumba huyu aliyekuwa rafiki wa karibu wa Masanja mkandamizaji alipata vitisho vikali kutoka kwa Nathan. Yeye Martha na Masanja ndiyo waligeuka wasuluhishi wa kutafuta utatuzi wa hali hiyo. Martha anasisitiza kuwa Nathan hakupenda Rose Muhando aolewe na mtu mwingine, wakati Rose Muhando akiwa amechoka kuzini na Nathan akijitakia ndoa yake mwenyewe. Kuna siku Nathan alimnyoishea bastola kwa muda wa dakika tano akimtishia asimuache kwenda kwa huyo mchumba wake mpya.

Rose Muhando ndiye aliyekuwa akimhudumia mchumba huyu mpya kwani alikuwa na hali duni kifedha. Rose alifikia hatua ya kumjengea nyumba kwao kwa wazazi wa mchumba wake huyu mchumba wake. Kama wahenga wasemavyo bora umfadhili mbuzi utakula mchuzi Rose alimfumania mchumba huyu mpya na mwanafunzi wa shule laivu bila chenga.

Rose Muhando alichanyikiwa na akajikuta amerudi tena na kuangukia kwenye penzi la meneja wake Nathan ambaye ni mme wa mtu.

Martha anasema Rose Muhando alitumikishwa kwa show zisizokoma na ilifika hatua anachoka anaishiwa nguvu anaanguka jukwaani anatolea mfano alivyoanguka madhabahuni kwa Rwakatale. Martha Mwaipaja anasema Rose Muhando alikuwa si mtu wa furaha muda mwingi alikuwa akilia awapo peke yake. Martha Mwaipaja anasema Rose Muhando alimwambia kwa uchungu kuwa anafanya kazi ngumu lakini anawafanyia watu wengine.

Ili kuondoa uchovu na stress kutokana na wingi wa matamasha ambayo Nathan alikuwa ameshakula pesa, Nathan alimlazimisha Rose kunywa vilevi ili akaperform bila kuchoka haraka, Martha Mwaipaja anasema alishuhudia hili kwa macho yake kwenye show ya mwanza.

Ilifika hatua pombe zikawa hazifui dafu ikawa zamu sasa ya madawa ya kulevya, ikafika hatua haimbi tena amekuwa teja na ndiyo hali Rose Muhando aliyonayo sasa.

Martha Mwaipaja anasema tumuombee Rose Muhando badala ya kumhukumu. Waimbaji wa nyimbo za injili wamechukua nafasi ya shetani, shetani ndiye alikuwa kiongozi wa sifa kabla ya kutupwa kuzimu. Hivyo shetani anawawinda sana kwani wamechukua nafasi yake.

NB: Nimeshindwa kuipandisha Audio clip ya Martha Mwaipaja akiongea.
tunaoujua ukweli tulitambua kuwa ule "utoaji mapepo" wa yule pastor feki Mkenya yalikuwa ni maigizo tu!
 
"Nimekukimbilia wewe bwana mwamba wangu na ngome yangu...nakuinulia mikono yangu juu baba nipe uvumilivu....magonjwa mengi yamenitesa yesu nipe uvumilivu.....walionizalisha wamenikimbia baba nipe nguvu..." huu wimbo nimeusahau jina naupenda sana unatoa somo kwa wakina dada wasiojielewa,na watu wote vizibo wengi tunao hapa Jukwaani
 
Hawa watu wanaoishi maisha ya kilokole, sometime ukiingia kwenye maisha yao unaweza ukajiona ww bonge la mtakatifu, kwani wengi wao ni wanafiki.

Ndio maana usishangae amber rutty akaiona pepo na mlokole akaingia motoni, pole Rose kwani huu ni wakati wa kumtafuta Mungu na uishi yale unayo yaimba.
 
Hii post iwekwe pia jukwaa la sheria halafu watu kama hao wanawaingiza wenzao kwenye ulevi na baadae madawa ya kulevya. Wakihafifisha vita dhidi ya madawa ya kulevya ya mtukufu Rais na kupunguza kasi ya uchumi wa kati na viwanda. SHERIA ICHUKUE MKONDI
Pia haki za msingi za msanii kudhulumu na kumtumia kwa manufaa
Lkn pia kusimama upande wa ibilisi na shetwan na kuongoza wengi kuwa wafuasi wake
NB Je maelezo hayo si ushahidi tosha kwa Jamhuri kuchukua hatua?
Je Jf sheria haina kitengo cha kusaidia mhusika ambaye yuko hali ya kutoweza kujisaidia kwa kuwa akili yake imevurugwa?
 
Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando .

Martha ameeleza jinsi Rose alivyojiingiza kwenye madawa ya kulevya na jinsi alivyolazimika kujihusisha kimapenzi na meneja wake aitwaye Nathani.

Martha anaeleza kuwa vita ya kiroho ilimuelemea Rose Muhando. Rose Muhando ana meneja wake aitwaye Nathan ambaye ndiye aliyemtoa kimuziki mpaka akafahamika. Kiufupi huyo meneja wake ndiye aliyegharamia gharama zote za kurekodi albamu ya kwanza ya Rose Muhando baada ya kuachana na kitimtimu kwaya. Rose Muhando aliingia mkataba na Nathan ambao kwa mujibu wa Martha Mwaipaja ulikuwa ukimkandamiza Rose Muhando na kumnufaisha meneja.

Martha Mwaipaja anayedai amekuwa karibu na Rose Muhando kiasi cha kumueleza kila lililomsibu anatolewa mfano kwamba ili umualike Rose Muhando kwenye show ni lazima uingize milioni mbili kwenye akaunti ya Nathan, halafu laki tano utampatia Rose Muhando atakapokuja kupafomu. Hivyo Rose Muhando akitoka kwenye show anapewa laki tatu kwenye hiyo milioni mbili na inayobaki yote anachukua meneja. Ilifika hatua ikawa meneja akila pesa za watu mbalimbali na kumlazimisha Rose ajaperform na mara nyingine Rose aligoma kwenda na matokeo yake alikuwa akipata lawama za utapeli mara kwa mara.

Martha Mwaipaja anaendelea kueleza kwamba Nathan alitumia nafasi yake ya umeneja kumtumia Rose Muhando kimapenzi pamoja na kuwa alikuwa mume wa mtu. Rose Muhando alijaribu kupambana na hali hiyo lakini mwisho wa siku akajikuta akijihusisha kimahusiano na meneja wake huyo.

Meneja alimtumia Rose Muhando kimapenzi na kiuchumi, kuna kipindi Rose Muhando alipata mchumba mwingine ambaye alitaka kumuoa lakini alikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Nathan. Martha Mwaipaja anasema mchumba huyu aliyekuwa rafiki wa karibu wa Masanja mkandamizaji alipata vitisho vikali kutoka kwa Nathan. Yeye Martha na Masanja ndiyo waligeuka wasuluhishi wa kutafuta utatuzi wa hali hiyo. Martha anasisitiza kuwa Nathan hakupenda Rose Muhando aolewe na mtu mwingine, wakati Rose Muhando akiwa amechoka kuzini na Nathan akijitakia ndoa yake mwenyewe. Kuna siku Nathan alimnyoishea bastola kwa muda wa dakika tano akimtishia asimuache kwenda kwa huyo mchumba wake mpya.

Rose Muhando ndiye aliyekuwa akimhudumia mchumba huyu mpya kwani alikuwa na hali duni kifedha. Rose alifikia hatua ya kumjengea nyumba kwao kwa wazazi wa mchumba wake huyu mchumba wake. Kama wahenga wasemavyo bora umfadhili mbuzi utakula mchuzi Rose alimfumania mchumba huyu mpya na mwanafunzi wa shule laivu bila chenga.

Rose Muhando alichanyikiwa na akajikuta amerudi tena na kuangukia kwenye penzi la meneja wake Nathan ambaye ni mme wa mtu.

Martha anasema Rose Muhando alitumikishwa kwa show zisizokoma na ilifika hatua anachoka anaishiwa nguvu anaanguka jukwaani anatolea mfano alivyoanguka madhabahuni kwa Rwakatale. Martha Mwaipaja anasema Rose Muhando alikuwa si mtu wa furaha muda mwingi alikuwa akilia awapo peke yake. Martha Mwaipaja anasema Rose Muhando alimwambia kwa uchungu kuwa anafanya kazi ngumu lakini anawafanyia watu wengine.

Ili kuondoa uchovu na stress kutokana na wingi wa matamasha ambayo Nathan alikuwa ameshakula pesa, Nathan alimlazimisha Rose kunywa vilevi ili akaperform bila kuchoka haraka, Martha Mwaipaja anasema alishuhudia hili kwa macho yake kwenye show ya mwanza.

Ilifika hatua pombe zikawa hazifui dafu ikawa zamu sasa ya madawa ya kulevya, ikafika hatua haimbi tena amekuwa teja na ndiyo hali Rose Muhando aliyonayo sasa.

Martha Mwaipaja anaeleza kuwa Rose Muhando alipoamua kujinasua kwa meneja wake huyo alipata vitisho vikali kutoka kwa Nathan na Msama wa msama promotion waliomtisha kuwa kama ataachana na huyo meneja atapoteana kimuziki.

Martha Mwaipaja anasema tumuombee Rose Muhando badala ya kumhukumu. Waimbaji wa nyimbo za injili wamechukua nafasi ya shetani, shetani ndiye alikuwa kiongozi wa sifa kabla ya kutupwa kuzimu. Hivyo shetani anawawinda sana kwani wamechukua nafasi yake.

NB: Nimeshindwa kuipandisha Audio clip ya Martha Mwaipaja akiongea.
Hizo Martha Mwaipaja, Martha Mwaipaja zimekuwa nyingi sana mpaka zinakera kusoma, Edit tafadhali.
 
Ina maana Rose alikuwa akimuheshimu huyo Nathan kuliko Mungu wake na kama kuwa na Nathan ilikuwa ni kosa je,vipi alivyomfumania huyo mchumba wake ilimbidi arudi kwa Nathan....

Lengo la aliyetoa story ni kumuonesha Rose kama ni mtu aliyeonewa kana kwamba alikuwa hana akili na utashi wa kiroho kumuongoza.. Inabidi wakubali kuw a ROSE KAMA ROSE NAYE ALITELEZA ..hii itamsaidia kutoka huko, Kama Daudi aliteleza kwa kuua kwa ajili ya mwanamke je, Rose amefanya kubwa lipi hadi asisamehewe
 
Ina maana Rose alikuwa akimuheshimu huyo Nathan kuliko Mungu wake na kama kuwa na Nathan ilikuwa ni kosa je,vipi alivyomfumania huyo mchumba wake ilimbidi arudi kwa Nathan....

Lengo la aliyetoa story ni kumuonesha Rose kama ni mtu aliyeonewa kana kwamba alikuwa hana akili na utashi wa kiroho kumuongoza.. Inabidi wakubali kuw a ROSE KAMA ROSE NAYE ALITELEZA ..hii itamsaidia kutoka huko, Kama Daudi aliteleza kwa kuua kwa ajili ya mwanamke je, Rose amefanya kubwa lipi hadi asisamehewe
Sio wote wanaoweza kuwa strong kwa changamoto zinawapata hata kama ni wakiroho kiasi gani hata yesu mwenyewe kunawakati aliona ngoma nzito akaomba kikombe kimuepuke.
 
Hii post iwekwe pia jukwaa la sheria halafu watu kama hao wanawaingiza wenzao kwenye ulevi na baadae madawa ya kulevya. Wakihafifisha vita dhidi ya madawa ya kulevya ya mtukufu Rais na kupunguza kasi ya uchumi wa kati na viwanda. SHERIA ICHUKUE MKONDI
Pia haki za msingi za msanii kudhulumu na kumtumia kwa manufaa
Lkn pia kusimama upande wa ibilisi na shetwan na kuongoza wengi kuwa wafuasi wake
NB Je maelezo hayo si ushahidi tosha kwa Jamhuri kuchukua hatua?
Je Jf sheria haina kitengo cha kusaidia mhusika ambaye yuko hali ya kutoweza kujisaidia kwa kuwa akili yake imevurugwa?
Naunga mkono hoja
 
Oudio hata mimi ninayo kwa kweli inasikitisha sana ila yoyote ya yote ni ....
Haleluyaaaaaaaa...
Alafu eti wanajisifu ni wacha mungu huenda hata hapo mungu mwenyewe kaamua kumwaibisha pumbavu zake kutembea na mume wa mwanamke mwenzie kumharibia ndoa yake.. kule kweru mara tunasema t*mba nyooko muraaa..
 
Back
Top Bottom