roja24
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 634
- 406
Wadau kifupi mie nimfuatiliaji wa matukio ya hapa nchini, na mojawapo ya tukio nililolitazama ni hili la TOKOMEZA ZIRO - lililoandaliwa na Mhe . JoKate.
Suala ni kwamba , Muheshimiwa ambaye ni mwenyeji eneo la shughuli Kwa maoni yangu ameharibu kusema yale wakati JAMAA, (Mlev wa taifa) yuko mule mule na amealikwa kwa Heshma. Ila ujumbe mie namuunga mkono kuwa TAIFA HILI TUNASHADADIAGA VITU VYA AJABU AJABU kuliko Mambo ya Msingi..... The like s of Daktar Shika, Nabii Titto, Nyos..o , Amber Ruty n.k ..... Ndio vinapewa airtime kwenye media mpaka unashangaa....
Anyway maoni yangu ni kwamba, Ooh Yes, right Message, Wrong Place, tena na mtu/mhusika akiwemo Ndani Daaaah. Tena kaalikwa.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala ni kwamba , Muheshimiwa ambaye ni mwenyeji eneo la shughuli Kwa maoni yangu ameharibu kusema yale wakati JAMAA, (Mlev wa taifa) yuko mule mule na amealikwa kwa Heshma. Ila ujumbe mie namuunga mkono kuwa TAIFA HILI TUNASHADADIAGA VITU VYA AJABU AJABU kuliko Mambo ya Msingi..... The like s of Daktar Shika, Nabii Titto, Nyos..o , Amber Ruty n.k ..... Ndio vinapewa airtime kwenye media mpaka unashangaa....
Anyway maoni yangu ni kwamba, Ooh Yes, right Message, Wrong Place, tena na mtu/mhusika akiwemo Ndani Daaaah. Tena kaalikwa.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app