Tanzia: Msanii wa Bongo Flava, Abamto Valentino afariki dunia

Squidward

JF-Expert Member
Jul 21, 2014
6,919
7,931
Aliyekuwa mmiliki wa studio za Kiumbe video &Audio ambaye pia ni muimbaji na mtayarishaji wa muziki Abamto Valentino amefariki dunia akiwa kwao ilala. Moja ya kazi alizowahi kufanya ni pamoja na "Acha Waseme" akishirikiana na Dogo Aslay.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amen.

VIDEO

 
Kaamua kuwahi siti. Anyway, kila mmoja atafariki kwa wakati wake
Aliyekuwa mmiliki wa studio za Kiumbe video &Audio ambaye pia ni muimbaji na mtayarishaji wa muziki Abamto Valentino amefariki dunia akisa kwao ilala. Moja ya kazi alizowahi kufanya ni pamoja na "Acha Waseme" akishirikiana na Dogo Aslay.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amen.

VIDEO

 
Back
Top Bottom