Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,456
- 1,937
Binafsi naona kama music kwa sasa Tanzania unabembwa na hawa vijana waasanii wa Wasafi.
Kwa sasa ni nadra sana kuona akina Fid Q , Weusi sijui na akina nani kupata show nyingi za ndani.Naona kama mirija imekata kabisa.Yaani hata insta baadhi wameanza kupungua kabisa. Na kwa sasa page zao wengi wanapromote matangazo mbali mbali kujipatia kipato.
Marehemu Ruge kumbe alikuwa akiwasaidia sana hawa wasanii kwa hizi show vya fiesta at least wengine wanapata vi hela vya kununua nguo
Kwa sasa ni nadra sana kusikia et “ My new ride” hahahahaha.Magu kamatia hapo hapo mpaka tuewane.Wengi sasa hivi wamekata tamaa.Msanii unamaliza miezi 3-6 hujapata show ? Aisee jitafakari.
Clouds Media waangakie namna ya kuwasaidia hapa wasanii japo kwa show show hivi yaani wafanye kama wanashindana na Wasafi hivi ili kuwa-boost hawa wasanii wetu.Wengi wamegeuka kuwa ma- mc kwenye maharusi aisee hela mbaya sana.
Kuna wengine wamekata tamaa sana aisee.Kuna waliokuwa wanabeba mzigo kupeleka china sasa hivi naona mambo magumu mzigo hakuna so wapo tu wanazunguka mjini kuchekicheki ofa na huruma ya watu wanaowajua.
Sasa hivi msanii akibahatika kwenda Ulaya atatuma picha kila dakika insta ili kila mtu ajue hayuko Tanzania aisee.
Kuna wasanii sasa wanaanza kusahaulika kabisa
1.Roma
2.Stamina
3. Joh makini
4.Q chief
5.Recho
5.Matonya
6.Linex
7.Baraka sijui da pri nini
8.H baba
9. Juma nature
10.Msodoki
11. Fid q
12. Shetta
13. Dully
14. Country boy
15. Dogo janja
16. Madee
17. Tunda man
18. Momba
19. Wengine hao lbda wawe wameshirikishwa lakini kiukweli hali ni tete.
Yaani hata bongo movie nao hali ni tete hakuna jipya akina Ray na JB mambo ni magumu,Muhimdi anataka pasu pasu huku wafanyakazi rundo hahahaha aisee.
Yaani sasa hivi ni nadra kusikia sijui Chief Kiumbe kamzawadia Matonya gari
, mara sijui Sheta kamnunulia mwanae gari ya shule hahahah
Wasanii ambao kwa miaka 3 sasa tangu awamu hii iingie bado wako kwenye peak ni
1. Diamond ( huyu hajawahi kushuka)
2. Rayvann
3. Harmonize
4. Plus hao akina Mboso na Lavalava
Hawa vijana kila siku wao na matamasha mara kenya tz uk USA, Oman,Dubai yaani kila siku wananyea mbingu huku wenzao wanasota kuangika majungu insta mara free mason sasa sijui wao hawawaoni hao masonic ili nao wajiunge.
Kuna wasanii baadhi wanafanya hiphop ila cha ajabu nashimdwa kuelewa kama hata show wanapataga ama wanaganya tu mradi.
Hiphop kwa Tanzania kwa sasa ni majanga maana population inataka kuimba kuimba tena mapenzi mapenzi hivi plus matusi matusi uyafumbe fumbe hivi basi we utayoboa.
Wewe imba mikasa sijui siasa sijui maisha magumu utasikuliza mwenyewe kwako.
Cha muhimu msikate tamaa mkeshe mkiomba mzee aachie nanyi mpaka maisha
Kwa sasa ni nadra sana kuona akina Fid Q , Weusi sijui na akina nani kupata show nyingi za ndani.Naona kama mirija imekata kabisa.Yaani hata insta baadhi wameanza kupungua kabisa. Na kwa sasa page zao wengi wanapromote matangazo mbali mbali kujipatia kipato.
Marehemu Ruge kumbe alikuwa akiwasaidia sana hawa wasanii kwa hizi show vya fiesta at least wengine wanapata vi hela vya kununua nguo
Kwa sasa ni nadra sana kusikia et “ My new ride” hahahahaha.Magu kamatia hapo hapo mpaka tuewane.Wengi sasa hivi wamekata tamaa.Msanii unamaliza miezi 3-6 hujapata show ? Aisee jitafakari.
Clouds Media waangakie namna ya kuwasaidia hapa wasanii japo kwa show show hivi yaani wafanye kama wanashindana na Wasafi hivi ili kuwa-boost hawa wasanii wetu.Wengi wamegeuka kuwa ma- mc kwenye maharusi aisee hela mbaya sana.
Kuna wengine wamekata tamaa sana aisee.Kuna waliokuwa wanabeba mzigo kupeleka china sasa hivi naona mambo magumu mzigo hakuna so wapo tu wanazunguka mjini kuchekicheki ofa na huruma ya watu wanaowajua.
Sasa hivi msanii akibahatika kwenda Ulaya atatuma picha kila dakika insta ili kila mtu ajue hayuko Tanzania aisee.
Kuna wasanii sasa wanaanza kusahaulika kabisa
1.Roma
2.Stamina
3. Joh makini
4.Q chief
5.Recho
5.Matonya
6.Linex
7.Baraka sijui da pri nini
8.H baba
9. Juma nature
10.Msodoki
11. Fid q
12. Shetta
13. Dully
14. Country boy
15. Dogo janja
16. Madee
17. Tunda man
18. Momba
19. Wengine hao lbda wawe wameshirikishwa lakini kiukweli hali ni tete.
Yaani hata bongo movie nao hali ni tete hakuna jipya akina Ray na JB mambo ni magumu,Muhimdi anataka pasu pasu huku wafanyakazi rundo hahahaha aisee.
Yaani sasa hivi ni nadra kusikia sijui Chief Kiumbe kamzawadia Matonya gari
, mara sijui Sheta kamnunulia mwanae gari ya shule hahahah
Wasanii ambao kwa miaka 3 sasa tangu awamu hii iingie bado wako kwenye peak ni
1. Diamond ( huyu hajawahi kushuka)
2. Rayvann
3. Harmonize
4. Plus hao akina Mboso na Lavalava
Hawa vijana kila siku wao na matamasha mara kenya tz uk USA, Oman,Dubai yaani kila siku wananyea mbingu huku wenzao wanasota kuangika majungu insta mara free mason sasa sijui wao hawawaoni hao masonic ili nao wajiunge.
Kuna wasanii baadhi wanafanya hiphop ila cha ajabu nashimdwa kuelewa kama hata show wanapataga ama wanaganya tu mradi.
Hiphop kwa Tanzania kwa sasa ni majanga maana population inataka kuimba kuimba tena mapenzi mapenzi hivi plus matusi matusi uyafumbe fumbe hivi basi we utayoboa.
Wewe imba mikasa sijui siasa sijui maisha magumu utasikuliza mwenyewe kwako.
Cha muhimu msikate tamaa mkeshe mkiomba mzee aachie nanyi mpaka maisha