Hahaaa mwarabu fighter akiona lile jambia la kuchinjia hawezi kubaki..Si atakuwa analindwa na mwarabu fighter
Diamond mwaka jana kafanya show Oman, kwenye kiwanja yaani peke yake. Najua humpendi, ila video hiyo ilikuwa 27 March 2017, ingia millard ayo, sijui kesho utaleta nn ww kila siku mtu wa kuzusha.Kila show ulaya america au kusini mwa jangwa la sahara, why huwatafutii show misri,algeria,morroco, irani, saudi arabia au hata omani?
Akijibu hii nitag MkuuDiamond mwaka jana kafanya show Oman, kwenye kiwanja yaani peke yake. Najua humpendi, ila video hiyo ilikuwa 27 March 2017, ingia millard ayo, sijui kesho utaleta nn ww kila siku mtu wa kuzusha.
Ila si huwa wanaimba pia nyimbo za kuwavutia upande huo au hajaamua kulenga soko la pande hizoHahaaa mwarabu fighter akiona lile jambia la kuchinjia hawezi kubaki..
Halafu na style za uimbaji sidhani kama waarabu wanaweza kukubali bongo flavour
Diamond mwaka jana kafanya show Oman, kwenye kiwanja yaani peke yake. Najua humpendi, ila video hiyo ilikuwa 27 March 2017, ingia millard ayo, sijui kesho utaleta nn ww kila siku mtu wa kuzusha.
Una roho ya kimasikini, alafu bado kijana, sasa sijui ukizeeka utakuaje, shauri yako chuki umua mtu mjinga.Bwana moses iyomba a.k.a lukamba haya leta na zingne basi mbona moja tu
Shauri ndio unakuwa ww, umri haurudi nyuma baada uwe constructive ww kwa hiyari yako, umeamua kuwa destructive, don't hate be inspired.Moses iyobo vip kwanii nawee ni tajiri?
HahaaaaaaaSawa tajiri mkata mauno
Kila show ulaya america au kusini mwa jangwa la sahara, why huwatafutii show misri,algeria,morroco, irani, saudi arabia au hata omani?