katika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio...
Habari zenu wananzengo,
Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music...
Ila na wewe Mbasha itakua kweli unabakwa, we mwanaume gani kila Siku unachambana na akina carrmastory mara faiza mmhm, wanaume hawanaga tabia hizo bwana , kuchamba tuchie sie akina warumi...
Huyu msanii uwa najiuliza cipati majibu madensa,wasanii wake,maproducer,wapiga picha,wachumba,watoto wake,managers,bodyguard na familia yake yote famous.
Hii nguvu anaitoa wapi,mbaya zaidi ukiwa...
Mc wa taifa leo anaoa..juzi ndo ilikua send off
Harusi ya taifa,uwanja wa taifa
Ila taifa lina mambo mengi saaana hadi mengine hayakumbukwi!
Hongera mc pilipili..Mungu aisimamie ndoa yako ijae...
Habari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema !
Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua...
Aman iwe juu yenu
Yes is onether Friday siku ya kufurah na kuenjoy
Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja au siyo mazee
Anaitwa Joseph haule ni msanii na mbunge wa mikumi
Bila Shaka watu...
Habarini Wadau,
Nimewakumbuka sana The Kilimanjaro Band, hasa ngoma yao ile ya "Kachiri" "Tulizana Mpenzi" wananjenje na "Boko"
Hasa kiswahili kizuri kilichotumiwa na yule mzee na pale pa...
Ila wanazengo huyu mbwa kajua kutuumbua wambea sie, wenzao tulijua ndoa ndo kushnei kumbe mapicha picha tu wanatuchezea, mxieew ... sasa lulu na wewe kujichetua juzi na ma video kujifanya una...
Amekamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono. Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago
Mwanamuziki huyo wa...
Wangapi walikua wanasubiria engagement ya tanasha na domo kama mimi ?, by the way nilijuaga wakenya wakogo smart kuliko mademu wa tized, ila now it’s confirmed they are all the same , they are all...
Hi Guys,,
I Hope Mko Gud,,,Right?
Ok Freshhhh,,,
Sikumbuki vizuri Hili bifu la hawa miamba wawili wa Bongo flava lilianza lini ila ninacho jua tu bifu lao lina muda mlefu kidogo,
Kusema ukweli...
Kwa wale watazamaji wa series ya game of thrones kuna mwanadada anajulikana kama Daenarys Targaryen ambaye jina lake halisi ni Emilia Isabelle Euphemia Rose Clarke, raia wa Uingereza kazaliwa...
Ni mchezo mchafu ambao sasa umeanza kuoneshwa wazi baada ya kuwa unazungumzwa na baadhi ya mastaa wa muziki wa bongo flavour na hata baadhi ya waigizaji wa filamu za hapa kwetu Tz,,,,,ipo mifano...
_
Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Afande Sele amewataka watoto wake kwamba akifariki wahakikishe anachomwa moto.
Afande Sele amewataka watoto wake wasimamie hilo kwa kuwa hiyo ni zawadi ambayo...
Nimepita kitaa kimoja nikakuta wana wanabishana kubusu ule wimbo wa Mwanana FA unaoitwa alikufa kwa ngoma. Kuna mwana alikuwa anadai kuwa ule wimbo FA aliimba tu but mistari ilichorwa na jamaa...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Marlaw amepotea kwenye ramani ya muziki wa Bongo Fleva, hasikiki tena, licha ya kutoa nyimbo mpya kila siku, lakini hapati tena kushikilia chati za redio kama...
Habari wadau..
Diamond Plutnumz japo hajaenda sana shule ila ndio smart boy kulilo wote niliowahi kuwaona Tanzania.
Amekulia Tandale na amekuwa bilionea bila kumuibia mtu, kula rushwa wala...
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.