Wanaume wa Tanga kwa kupenda mitelezo hamjambo, mwenzenu kakimbilia kwa bibi yake kisa hela, kazi hamtaki kufanya mnataka kuteleza tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa Diamond walahi huyu...
Siku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo
Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi...
Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu amezua kizaa zaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akigoma kukamatwa na polisi baada ya mahakama hiyo kumwachia huru na kisha kumkamata tena na kumuweka...
Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa @noelgiotz wa tz wote saport yako ndio itamfanya azidi KUSONGA mbere zaidi ku like sana kazi zake na kupost sana kwenye pejizenu...
Zari taratibu na hiyo kiu yako ya ndoa, bwana atapepea huyo akuachie jina tu ubaki Mrs hewa, haujifunzi tu? Kwa Diamond hivo hivo Mrs Dee Mrs Dee ukanunua na lile sijui joho sijui gauni nyuma...
Nilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa.
Sasa...
Haka kamamii by the way kametulia, I like how she entertains no drama , she is just her and her world, she is not trying to compete or compare with any of her boyfriend’s ex, that’s Tanasha for...
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way...
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.
Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka...
Zari umeni let down bhana , Talking about Tanasha? Like seriously? That’s how boss lady behaves ?, yan that’s too low kwa kweli yan umeniboa kupitiliza, now ndo naamini why diamond said huja move...
Juma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!
Eeeeeeeeh kumekuchaaa mamaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......!! Mambo hazarani kashasahau majanga yake atakua na balaa uyu dada au akili zake hazimtoshi
Sent using Jamii Forums...
Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba...
mchungaji anaongea hiki na jamaa anaongea kile tofauti kabisa sasa sijui ni ushamba,ujinga au welevu mwingi au kwa makanisa ya wenzetu hiyo ni kawaida tu
Jaman mji mzito huu, kwa hiyo Majizo anamla Vanessa Mdee? Khaa poleni akina Lulu na Jux , kama vipi na nyie si mlianzishe, maana mnapendezana hatari, khaa yani V Money jamani ptuuu hadi wewe? Looh...
Straight to the point,
Vile back in days trap music inaanza kuingia bongo wakaibuka watu kama Cyril kamikaze wakafanya Ngoma. Mara soon akaibuka Gosby naye akafanya yake RAIA tukamu-appreciate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.