Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wakuu, Senga na Pembe wanafahamika miaka mingi kwa umahiri wao wa vichekesho. Kwa miaka mingi ni kama walipotea na kuibuka kizazi kipya kilichofanya wengi kuwasahau. Wakongwe hawa wameingia...
12 Reactions
34 Replies
8K Views
Naanza na list ya massage zilizopo katika jiji la dar kwa ajili ya kupunguza uchovu kama unazijua nyingine endelea... 1.miriam massage masaki 2.signature massage makumbusho 3...
2 Reactions
59 Replies
29K Views
Habari zenu wakuu,Natumai mko salama...Direct to e' Point,Yule Mjasiriamali msomi wa mambo ya TV Productions na Mrembo ambae pia ni Boss/CEO wa Redio Lake FM 102.5 Iliyopo Mwanza Tanzania...
2 Reactions
45 Replies
7K Views
Naam Wanajamvi Series yetu inaendelea..WASSAPE akiwa kwenye kazi yupo serious..hatakagi kutekwa na starehe ya aina yoyote......#Inaendelea.....Usikose... To be Continued. @NgarenaroBoy.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa Muziki wa Bongo flava na wanaofatilia kwa ukaribu watakubaliana namimi makeke ya huyu kijana wa Kimakonde kutokea WCB Label. Kwa kipindi cha Mwaka 2018 hadi sasa amefanya kazi...
7 Reactions
72 Replies
12K Views
Naangalia sana kipindi chako kila nikipata nafasi hebu tupe sifa zetu wanawake,tunafanya mengi mazuri tu we kila siku mabaya tu kutunanga tu,dyadyaa tafadhali hebu siku moja moja ongelea mazuri...
13 Reactions
34 Replies
4K Views
Nyimbo namba moja Youtube Africa mwaka 2019 “Tetema” imefungiwa nchini Kenya. Kinachoshangaza hii nyimbo ina zaidi ya miezi 6 tangia imetoka ila imekuja kupigwa ban leo, sijui hawa wakenya...
2 Reactions
68 Replies
8K Views
Naandika uzi huu baada ya kuona nyuzi nyingi huku zikizungumzia masuala ya label kama msaada wakati ni biashara. Hebu fikiria, umekutana na msanii huko mtaani amejaliwa kipaji unaamua kuwekeza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hey Guys,,, I hope mko poa Nimeziangalia Tuzo za Afrimma na category zake zimenishangaza sana, Kitu kilicho nishangaza ni kuona Omary Nyembo akiingia kwenye category tatu huku Harmonize na...
6 Reactions
151 Replies
15K Views
'I'll never stop missing you': George Michael's lover is pictured visiting the singer on Christmas Eve – just hours before he found the Wham! star's lifeless body at his £4m Oxfordshire home...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu nayasema haya si kwa chuki au unafki , ila wakati mwingine inabidi tuseme kama funzo kwa jamii yetu inayotuzunguka. Na si vyema kujadili maisha ya mtu lakini huyu ninayemjadili ni...
26 Reactions
162 Replies
26K Views
Habar waku, Kwa wenye mawazo ya haraka kama mm hamornize kazinguaa kinomaaa Kosa1! Kuchanganya siasa kwenye kuimbaa Hili limewakinaishaa wengi sanaa Kosa2: Hili la kutoka wcb sio kosa ...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bado sijaamini masikio yangu..hivi in kweli huyu jamaa kaamua kuokoka kweli au ndio maigizo ya kutafutiana kiki...kasema amezaliwa na kuwa kiumbe kipya
4 Reactions
56 Replies
8K Views
Swedish YouTuber, self-proclaimed comedian, game streamer, and controversy magnet Felix Arvid Ulf Kjellberg – better known by his online persona PewDiePie – has hit the 100 million subscribers...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapenzi wa WCB wote tukutane hapa tutete mawili matatu kuhusu huyu bwana mdogo Rajabu (Harmonize). Binafsi nimesikishwa sana jinsi alivyobadilika, amejaa kiburi ,majivuni na kujiona yeye ndio...
3 Reactions
70 Replies
10K Views
nauona mpambano mkali sana huku WCB kule Konde Gang hapa Kings Music aisee Bongo Flava itakua mbali saaaaaaana! ni mwendo wa hits tu jamani. Ngoja tuone
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Its been 19 years since you gone , as a number one fan , i would love to say that we miss you Tupac Amaru Shakur .... Music aint the same without Pac . Lets all join to celebrate his hip hop and...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
habarini zenu wajameni kwa wale wanaofuatilia mziki wa bongo fleva, na wa afrika mashariki kwa ujumla matumaini yangu ni kwamba mnamjua mtayarishaji wa beats maarufu kwa jina p-majani kinywele...
14 Reactions
128 Replies
33K Views
Hii ndio maana halisi ya kuwa msanii wa Kimataifa,full booked!!
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom