Jamaa anajua Sana kuitendea haki stage show ya Jana kwenye wasafi alifanya balaa zito na alifanya mchanganyiko ngoma zake za slow aliimba live band na nyimbo zake za kuchangamsha aliimba...
Najiuliza Swali Kwenye Haya matamasha Ni Nani Anahusika na kuhakikisha Kuwa Mazingira Yanatunzwa wakati wa Tamasha na Nani Anahusika na Afya Za Watu?
Juzi Jumamosi Nilikuwa kwenye Tamasha La...
Jana nikiwa natizama EATV si ndo ikaja top ten ya ngoma
Kufumba na kufumbua nikaona ngoma ya alikiba ikiwa namba tatu
Nilibaki mdomo wazi kushangaa kwamba hadi ngoma iko top ten lakin mimi hata...
Ila usiku wa Jana tukinao ulijua kutia aibu kwa kweli, hata kama mlichukuliana mabwana, kumnyari dada wa watu na kumuangalia kama taka taka infront of such a huge crowd it’s so disgusting and...
Usiku huu nimewaza tu kama wasanii wetu wangekuwa na Ukwasi na Umaarufu kama alio na aliokuwa nao Michael Jackson wangekuwaje na ingekuwaje?
Mtu ambaye wimbo wake mmoja kwenye You tube unaweza...
Kama na wewe ni mmoja kati ya wanazengo waliokua wanamponda Muigizaji bei mbaya, Irene Pancras uwoya, kwa kitendo chake cha kupiga picha kila wakati akiwa amepozi nyumbani kwake na nguo tofauti...
"Kila nikiona kibinda nadinda nakitia mimba" Moja ya mstari kwenye ngoma zake.Je unadhani kuna demu yeyote wa kumzidi msambwanda na mahips huyo demu wa Nikki kama yupo weka picha yake humu...!!
Bila salamu na kwa uchungu na masikitiko,Nani asiyependa kuona chuchu za Irene?Mnafikiri mimi sipendi kuona chakula ya zamani ya home boy Janjaroo si ndio??Inauma sana kunyimana hii video sijui...
Kuna mambo mengi yamejificha juu ya Mavoko kuondoka wasafi, tuachane na propaganda za udini kama wengi walivyokuwa wanaaminishwa.
Mtakumbuka wakati Mavoko anasaini WCB alikuwa katika ubora wake...
Habarini...
Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano.
Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau...
Hapo...
Sio siri wana JamiiForums hzizi nyimbo nilizisikiliza naona kama vile zimeimbwa leo leo tu
1.Nelly ft Kelly Rowland - Dilemma
Nani haujui huu wimbo???Huu wimbo kwangu hauchuji kuanzia beat mpaka...
Zaid ya watu 24,000/= Jana walikesha kumfatilia Diamond plutnumz.
Hii sio kawaida, hakuna mtu bongo
Hii alishawah kwenda YouTube live na akatizamwa na watu zaid ya elfu kumi.
Ifike wakati...
-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake..
-anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake..
-lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki.
-laiti nafasi ya lava lava...
Mwimbaji nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania amesimulia kisa chake ambacho alitakwa kimapenzi na baba mchungaji.
Akiongea na kituo cha redio mkoani Mbeya Bahati Bukuku amesema baada ya ndoa...
Katika mambo ambayo yanaweza kuwa sababu ya kila mtu mwenye mafanikio kufika pale alipo ni tabia hii ya kufanya maamuzi kwa wakati. Kama umeambiwa tafiti zinasema mwaka huu mvua hazitanyesha...
Watanzania wadau wa muziki wameanza movement kutengeneza awareness ili Beyonce ajue watu wake wamempotosha baada ya kukosekana mwakilishi kwenye album ya Lion King Huku akijaza wasanii wengi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.