Mlio karibu na Diamond mshaurini aache kuimba live wakati wa show. Hawezi kabisa, sauti yake inakuwa nje ya tone kabisa ya music. Nimefuatilia comments za warundi kufuatia show yake Bujumbura. Wamemsifia kwa kujua kudansi huku wakiponda uimbaji. Matokeo yake, show zinazorota kwa kuwa mashabiki hawapati vile vionjo vya muziki wanavyovitarajia.