Huyu Christian Bella ni Jini

FatherOfAllSnipers

JF-Expert Member
Mar 13, 2019
1,638
4,210
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha.
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama yeye, "AY pamoja na Mwana FA"
Dude linaitwa "Namvisha Pete"
Huyo jamaa ni Jini!
 
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha.
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama yeye, "AY pamoja na Mwana FA"
Dude linaitwa "Namvisha Pete"
Huyo jamaa ni Jini!
Mkuu hebu andika hoja inayojieleza.

Sasa huo UJINI umekujaje? Unawafehemu majini weye?

Mshana Jr
 
Diamond all the way.... Kakamata industry nzimaa.... Tangu mwaka umeanza...

Mngetulia tu kwanza..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom