FatherOfAllSnipers
JF-Expert Member
- Mar 13, 2019
- 1,638
- 4,210
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha.
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama yeye, "AY pamoja na Mwana FA"
Dude linaitwa "Namvisha Pete"
Huyo jamaa ni Jini!
Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama yeye, "AY pamoja na Mwana FA"
Dude linaitwa "Namvisha Pete"
Huyo jamaa ni Jini!