Ndugu Moderator, Invisible naomba kubadili ID yangu. Kuna mjinga mmoja na anafuatulia kila ninachopost ananitumia screenshots. Sipo comfortable na hili.
Natanguliza shukrani
Wako Mla vitumbua
Mchekeshaji Kevin Hart na wenzake wawili wamepata ajali ya gari mapema Jumapili Septemba 01, huko Calabasas, California baada ya dereva kukosa udhibiti wa gari hilo
Hart na dereva Jared Black...
Wakuu natumaini mu wazima kabisa nimeisogeza kwenu kwa kifupi historia ya mwanamziki Celine Dion.
Celine Marie Claudette Dion alizaliwa March 30 1968 huko Quebec Canada alianza kupata umaarufu...
Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yake
Dr. Reginald Mengi alipoulizwa kwanini umemuoa Jackline alijubu hivi: Nimemwoa Jackline kwasababu yuko tofauti na wanawake wengine ambao nimeshawahi...
Wasalamu [emoji1538].
Sina maongezi mengi sana juu ya hili kwa sababu maongezi yangu kwa upana wake yataitaji ufafanuzi mrefu ambao sipo tayari kuuweka kama sehemu ua uzi huu labda kama 'comment'...
"Mafanikio huja kwa kufanya unachokipenda", hii ni kwa mujibu wa Fid Q na wanafalsafa wengine wengi ambao wamepata kiutokea katika uso wa dunia. Tasnia ya habari (hasa habari za burudani) kuna...
UKWELI uliowazi huthibitishwa na mpenyo wa uongo kwenye ngoma za masiko ya binadamu aliyehai na utimamu wa fikra zenye utambuzi wa weledi katika jambo husika.
Kuna mambo katika nyakati huleta...
Wimbo mpya wa JAMAFEST2019 ulioimbwa na Msanii Peter Msechu, umeteuliwa kuwa wimbo maalum katika Tamasha la Utamaduni la Afrika Mashariki linalotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 21-28...
Burna Boy, AKA, YCee & More Get In a Heated Exchange Surrounding Xenophobic Attacks in South Africa
As we've been reporting, South Africa is currently embroiled in violent xenophobic attacks...
Wadau wa hiphop, Nani ni noma kati ya hivi vichwa viwili chidi au fidi enzi wapo fire.....
Bila kujali matatizo yaliyowapata yaliyowaathiri kwenye game, JE NANI NI MKALI???
Miongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza.
Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi...
Dar es Salaam. Kama ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii hasa Instagram habari iliyoshika kasi huko ni madai ya uhusiano kati ya mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mwanamuziki Rayvanny...
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama...
Msanii wa muziki wa Injili kutoka Kenya, Ringtone Apoko ambaye kipindi cha nyuma alitangaza ni yake ya kumuoa Zari The Boss Lady, ameamua kumnunulia ndinga kali mama huyo wa watoto watano ikiwa...
Kajala Masanja ungekua bado hujaolewa.....,basi tu.Huyu dada ni mrembo sana hasa akiwa natural bila yale marangi rangi yao.Pembeni ni beautiful onyinye Jack Wolper.
Habarini....
Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika
Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient...
Harmonize baada ya kuondoka Wcb Kwa muda mfupi tu matokeo yake yameeanza kuonekana zile One Million Viewers Kwa siku Hazipo tena Nachojiuliza pale WCB kuna mdudu gani Mbona Wakiondoka wanapotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.