Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,370
- 21,062
Miongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza.
Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi wamsafishie nyota yake maana anazidi kufuja kila kukicha .
Wema kwa muda mrefu amekuwa mtu mwenye mikosi kila atakalolifanya lazima liharibike, mfano kampuni yake ya endless fame imekufa kifo cha mende, vipodozi vyake,app yake na mambo mengi mno yamemdodea .
Tukiachilia mbali suala la biashara, Wema amejaa mikosi mpaka mwilini mwake kuna uwezekano mkubwa hata suala la kizazi amefungwa kimazingara japo yeye anahisi na kukiri tabia yake ya kutoa mimba usichanani mwake ndio chanzo lakini hapana atazame kwa wataalamu huenda kuna jambo limejificha nyuma ya pazia.
Tukija upande wa muonekano Wema amekongoroka mno mpaka inakuwa vigumu kupewa baadhi ya dili kutokana na mwili wake kutokuwa na mvuto tena maana amekuwa kimbau mbau ambaye haeleweki nyuma wapi mbele wapi ukija kwenye sura ndio kabisa uzee unamkaribia.
Kwa hiyo ushauri wa bure aende kwa wataalamu wamchekie nyota yake au kama anaona aibu awaite hata masheikh wamfanyie kisomo angalau cha siku saba mfululizo au siku tatu kikiambatana na swadaka kwa watoto yatima na maskini huenda mambo yake yatakaa sawa kwa idhini ya Allah.
Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi wamsafishie nyota yake maana anazidi kufuja kila kukicha .
Wema kwa muda mrefu amekuwa mtu mwenye mikosi kila atakalolifanya lazima liharibike, mfano kampuni yake ya endless fame imekufa kifo cha mende, vipodozi vyake,app yake na mambo mengi mno yamemdodea .
Tukiachilia mbali suala la biashara, Wema amejaa mikosi mpaka mwilini mwake kuna uwezekano mkubwa hata suala la kizazi amefungwa kimazingara japo yeye anahisi na kukiri tabia yake ya kutoa mimba usichanani mwake ndio chanzo lakini hapana atazame kwa wataalamu huenda kuna jambo limejificha nyuma ya pazia.
Tukija upande wa muonekano Wema amekongoroka mno mpaka inakuwa vigumu kupewa baadhi ya dili kutokana na mwili wake kutokuwa na mvuto tena maana amekuwa kimbau mbau ambaye haeleweki nyuma wapi mbele wapi ukija kwenye sura ndio kabisa uzee unamkaribia.
Kwa hiyo ushauri wa bure aende kwa wataalamu wamchekie nyota yake au kama anaona aibu awaite hata masheikh wamfanyie kisomo angalau cha siku saba mfululizo au siku tatu kikiambatana na swadaka kwa watoto yatima na maskini huenda mambo yake yatakaa sawa kwa idhini ya Allah.