Aisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaaIla ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
Aisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaa
Unataka namba zake njoo na buku tano mzee,Kaka uzur wa mtu uko machoni kwa mtu,,sura au matako ni mapambo yanayovutia,,mm nimevutiwa na kashape kake,kama una nmba zake tatadhali mwambie asome kuna mtu nateseka juu yake,,ntamfanya amsahau mheshimiwa Rais wa Mbeya
Una sh ngapIla ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
Siku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kilio
View attachment 1194747
View attachment 1194762
View attachment 1194763
Maumivu yakizidi hayafichikiNi udhaifu mkubwa kumuonesha chozi ex wako!
Pole dadangu ila kwa umbea uliopo mjini le mutuz akupewa mwaliko.Siku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kilio
View attachment 1194747
View attachment 1194762
View attachment 1194763