➡ Ukikaa na kufikilia kwa mbali unaweza usipate jibu la moja kwa moja ila maisha lazima yaendelee.
Mwanamuziki wa nyimbo za kuruka ruka a.k.a rege Luck Dube alifariki kwa kupigwa risasi na jamaa...
Wakuu habari za mda Leo nimeona niwasogezee top 30 list ya wasanii wa muziki wenye record ya mauzo makubwa dunian
The beatles-united kingdom-usd 600million
Elvis Presley_united state_USD...
MWANAMITINDO mwenye shepu ‘tata’ Corazon Kwamboka amechafuka mtandaoni mara baada ya kutupia picha ya nusu utupu akiwa na Mzungu anayedaiwa kuwa ni mchumba wake.
Corazon ambaye pia ni mwanasheria...
Ni media changa ndio ila kwa kuwa jina la Wasafi tayari ni kubwa duniani raia wana matarajio makubwa na media zenu Tv na Radio kuliko ata hizi media mlizozikuta zenye miaka 20 na zaidi.
Mmeanza...
Heartbreaking vigil for Bobbi: Bobby Brown shows the strain as he arrives at daughter's bedside with Whitney Houston's mother, Cissy, as family confirms 'odds are against' 21-year-old's survival...
Aman iwe juu yenu
Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa
Je kahama kwa masikin kuna...
Huyu cheus dawa nae kumbe ana majibu ya kunya, eti *** off mxiee, kanajiona kashakua Beyoncé mwenyewe Kisa yupo US, ngoja siku awashwe kujifanya anakuja na project yake bongo mxiee awaambie hao...
Ulimwengu unaenda kasi sana na fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kiatama) sio siri hakuna asiyependa kwenda na wakati but kuna fashion nyingine dooh....je unaweza kuvaa kiatu kama hiki cha Davido na...
Wakuu Huyu Ni Mwanamitindo Maarufu Wa Tz Anaeishi Nchini Marekani Anaeitwa Naomi Magese, Usiku Wa Leo Ametupia Picha Yake Ya Nchi Kwenye Instagram na Kuandika Maneno Yafuatayo, Nanukuu...
Ebwana wanaJF Mzuka!
Mwanadada mwanamziki maarufu duniani katika nyimbo taratibu za mapenzi Mariah Carey 45 ameitwa "a devil and evil witch" na kaka yake tumbo moja Morgan Caret 51 kwa kukataa...
Habari za mda huu wakuu
Ivi nani anamzidi uyu Harmonize pale WCB? Harmo anakimbiza mpaka nnaona kama yeye ndo anaibeba WCB(kwa mtazamo wangu), na vipi kuhusu Mr Q-Chillah ka sign pale kwa Domo?
Mmh mbea mimi toka nione ray c kaenda Paris nikajiliwaza huenda itakua vacation tu ya siku mbili then anarudi bongo tuendelee kula msoto wote, jaman nyie Mungu mkali, Mwaka sasa unakatika bibie...
JAY MO na MWANA FA WALIMPOTOSHA DJ NELLY WA CLOUDS FM MWAKA 2003/2004 AKAGOMA KUNIPA PROMO WIMBO WANGU WA "NIMEPATA DEMU" LAKINI ROZI CHITARA(Radio One),SHEIZA (Eastafrica radio) NA NIKO...
Hivi karibuni kumeibuka tabia ya hawa wasanii kuwaimbisha watu waliotoa viingilio vyao kwenda kuwaangalia wakiperform kwenye stage.
Binafsi naiona hii tabia kama kero na dhuluma kwa mashabiki na...
Kuna wakati kwenye maisha unaweza kuona kama vile kuna watu ambao wana uwezo MDOGO kuliko wewe ila wamepewa NAFASI kubwa unayostahili wewe. Ukijipima kimoyomoyo unasema “yaani hata sielewi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.