Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwimbaji Aubrey O'Day(35) amesema ndoto yake ni Barack Obama(57) aje kumchangia mbegu zake za kiume(sperm donor) ili apate mtoto, huku akimsifia Obama kuwa ni handsome, anayejielewa, mkarimu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
➡ Ukikaa na kufikilia kwa mbali unaweza usipate jibu la moja kwa moja ila maisha lazima yaendelee. Mwanamuziki wa nyimbo za kuruka ruka a.k.a rege Luck Dube alifariki kwa kupigwa risasi na jamaa...
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Wakuu habari za mda Leo nimeona niwasogezee top 30 list ya wasanii wa muziki wenye record ya mauzo makubwa dunian The beatles-united kingdom-usd 600million Elvis Presley_united state_USD...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
MWANAMITINDO mwenye shepu ‘tata’ Corazon Kwamboka amechafuka mtandaoni mara baada ya kutupia picha ya nusu utupu akiwa na Mzungu anayedaiwa kuwa ni mchumba wake. Corazon ambaye pia ni mwanasheria...
6 Reactions
152 Replies
36K Views
Ni media changa ndio ila kwa kuwa jina la Wasafi tayari ni kubwa duniani raia wana matarajio makubwa na media zenu Tv na Radio kuliko ata hizi media mlizozikuta zenye miaka 20 na zaidi. Mmeanza...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
https://www.foxnews.com/entertainment/kanye-west-christian-rapper-nicki-minaj-chance-the-rapper
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Heartbreaking vigil for Bobbi: Bobby Brown shows the strain as he arrives at daughter's bedside with Whitney Houston's mother, Cissy, as family confirms 'odds are against' 21-year-old's survival...
0 Reactions
34 Replies
13K Views
Aman iwe juu yenu Naomba kuuliza ni kwanini wasanii wengi hupenda sana kwenda kufanya show zao kahama na mwanza ambayo ni mikoa masikin kwa majubi wa takwimu za taifa Je kahama kwa masikin kuna...
2 Reactions
94 Replies
15K Views
Huyu cheus dawa nae kumbe ana majibu ya kunya, eti *** off mxiee, kanajiona kashakua Beyoncé mwenyewe Kisa yupo US, ngoja siku awashwe kujifanya anakuja na project yake bongo mxiee awaambie hao...
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Ulimwengu unaenda kasi sana na fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kiatama) sio siri hakuna asiyependa kwenda na wakati but kuna fashion nyingine dooh....je unaweza kuvaa kiatu kama hiki cha Davido na...
2 Reactions
66 Replies
15K Views
Wakuu Huyu Ni Mwanamitindo Maarufu Wa Tz Anaeishi Nchini Marekani Anaeitwa Naomi Magese, Usiku Wa Leo Ametupia Picha Yake Ya Nchi Kwenye Instagram na Kuandika Maneno Yafuatayo, Nanukuu...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ebwana wanaJF Mzuka! Mwanadada mwanamziki maarufu duniani katika nyimbo taratibu za mapenzi Mariah Carey 45 ameitwa "a devil and evil witch" na kaka yake tumbo moja Morgan Caret 51 kwa kukataa...
11 Reactions
86 Replies
13K Views
Habari za mda huu wakuu Ivi nani anamzidi uyu Harmonize pale WCB? Harmo anakimbiza mpaka nnaona kama yeye ndo anaibeba WCB(kwa mtazamo wangu), na vipi kuhusu Mr Q-Chillah ka sign pale kwa Domo?
4 Reactions
166 Replies
20K Views
Mmh mbea mimi toka nione ray c kaenda Paris nikajiliwaza huenda itakua vacation tu ya siku mbili then anarudi bongo tuendelee kula msoto wote, jaman nyie Mungu mkali, Mwaka sasa unakatika bibie...
2 Reactions
23 Replies
8K Views
Aisee..!! @ChaliiYaKijengeJuu.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
JAY MO na MWANA FA WALIMPOTOSHA DJ NELLY WA CLOUDS FM MWAKA 2003/2004 AKAGOMA KUNIPA PROMO WIMBO WANGU WA "NIMEPATA DEMU" LAKINI ROZI CHITARA(Radio One),SHEIZA (Eastafrica radio) NA NIKO...
12 Reactions
94 Replies
17K Views
Mwanamziki wa Uganda atoa wimbo rasmi wa kumsifu Magufuli Jaman msinichukie Mimi hasa wale wapingao kila jambo, wimbo uo hapo,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumeibuka tabia ya hawa wasanii kuwaimbisha watu waliotoa viingilio vyao kwenda kuwaangalia wakiperform kwenye stage. Binafsi naiona hii tabia kama kero na dhuluma kwa mashabiki na...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Ipo huko Kwa mfunguacodetz
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Back
Top Bottom