Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Inasemekana atatua bongo next month ,kushoot project yake mpya ambayo haijawekwa wazi
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Haka kadada nilikua nakachukia, kalikua kana mapepe mno na nyodo flan hivi , ila toka wanazengo wampe makavu Naona siku hizi akili zimemrudia, kako focused hakana mapepe kama zamani, ameanza kukaa...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Kazi nyingine toka kwa hamo, Je unaipa alama ngapi kati ya 10? Hainistui Lyrics – Harmonize Intro chorus Yaaweya, Jeshi Konde Boy Hainistui, Hainistui, Hainistui Apa nilipo kesho yangu siijui...
9 Reactions
142 Replies
29K Views
Demi Rose prides herself on her voluptuous curves which she regularly shows off in sexy photoshoots. But one part of her body has changed more than any other - her bountiful bum. Not its confirm...
0 Reactions
1 Replies
34K Views
I smell a fish To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated. Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up...
23 Reactions
325 Replies
34K Views
Wiki hii baadhi ya watu maarufu kutoka Ghana wametrend Sana kutokana na kauli zao ukiachana na kauli ya mchungaji Nigel Gaisie aliyedai atamfufua Kobe Bryant kama atapata 10% ya Mali zake...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Akijibu juu ya kupendwa sana na kusababisha taflan mitandaoni, a 31 years old Diva Gissele Malinzi au Al maarufu Kama Diva' Mtangazaji wa #Alazaroho ya Cloudsfm , anasema yeye huwa hajali wala...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Oooh! Mamu! 0oh mamuu! We ndo furaha yangu, ooh Mamu! Nimekosa baby wangu... oh Mamu! Unisamehe mke wangu! Dah! Utakapoisikiliza ngoma hii kwa mara ya kwanza, na kuhakikishia you won't get enough...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB. Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe. Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama...
7 Reactions
161 Replies
26K Views
Diamond Ashika Nafasi Ya Kwanza Akifatiwa Na Harmonize Huku Nandy Akiwa Mwanamke Pekee Katika List Hio Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana nguzo tano wanapambania game linalowakataa ,wengi wao target ni kupata angalau kupata views 1M+ views ,kijitangazia u king usio hata na empire ,wengne wanadiriki hata kurukia miziki isiyo na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Kama ni mtu wa burudani utakuwa unamjua DJ PQ, kijana mbunifu na mwanzilishi wa chuo cha kwanza cha kujifunza udj Tanzania. Binafsi nimemfahamu kitambo lakini kabla hajawa maarufu...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hashim & Nash,wana Hip Hop wakubwa kabisa kutokea bongo,mwendawazimu na chizi wamekutana, sadly hashim hafanyi mziki siku hizi amekuwa sheikh swala tano Sent using Jamii Forums mobile app
9 Reactions
90 Replies
19K Views
Silengi kuchochea udini wa aina yeyote ile ila najiuliza imetokea bahati mbaya tu au kuna namna nyingine kwa wale wanaoliwakilisha taifa vizuri zaidi kwenye burudani na michezo kuwa Waislam au...
3 Reactions
98 Replies
9K Views
Kitambo saana hatujawasikia hawa mabinti Rahma, Radhina na Radhia Kipozi, wapo wapi kwa sasa. Muziki wameacha? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
57 Replies
14K Views
Brand New Song...!
0 Reactions
1 Replies
644 Views
Renowned British model Naomi Campbell has reacted to the 2020 Grammy Awards that saw Beninese singer-songwriter Angelique Kidjo bests Nigeria’s Burna Boy and others to winning the Best African...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Mcheza Kikapu mstaafu nchini Marekani, Kobe Bryant 'Mamba' amefariki katika ajali ya Helikopta iliyotokea leo huko California. Kobe mwenye miaka 41 akiwa na binti yake Gianna walikuwa miongoni...
10 Reactions
288 Replies
43K Views
Heshima kwenu wakuu! Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu. Kwa kuanzia, nimepata...
14 Reactions
161 Replies
43K Views
Nimekumiss sana hasa sharubu zako na kiko yako. Pia ucheshi wako wakati wa vikao vya bunge. Mungu ailaze peponi roho yako. I miss u.
1 Reactions
59 Replies
62K Views
Back
Top Bottom