Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Heshima kwenu wakuu!
Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu.
Kwa kuanzia, nimepata orodha fupi, ya mzee Kingunge, naambiwa mkewe ni Mrusi, lakini pia Profesa Sarungi naye mkewe ni Mrusi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Binilith Mahenge naye alivuta jiko kutoka mbele sambamba na marehemu Dokta Remmy ambaye naye ameacha mjane Mzungu.
Nitashukuru kama nitapata ushirikiano chanya!
Profesa Sarungi akiwa na ubavu wake.
Mzee Kingunge akiwa na wa ubani wake.
Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu.
Kwa kuanzia, nimepata orodha fupi, ya mzee Kingunge, naambiwa mkewe ni Mrusi, lakini pia Profesa Sarungi naye mkewe ni Mrusi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Binilith Mahenge naye alivuta jiko kutoka mbele sambamba na marehemu Dokta Remmy ambaye naye ameacha mjane Mzungu.
Nitashukuru kama nitapata ushirikiano chanya!
Profesa Sarungi akiwa na ubavu wake.
Mzee Kingunge akiwa na wa ubani wake.