Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kama nilivyouliza jaman , nahtaj kujua jina la huu wimbo , naupenda nataka niupakue
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Mwanamziki Tanasha Donna ambaye amezaa na mwanamuziki mwenzake wa Tanzania Diamond Platinumz kwa jina maarufu Simba, Tanasha amesema anaulizwa mengi kuhusu yeye kwa lile swala la kuwa maam wa...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Mr Malavidavi Rayvany a.k.a VannyBoyChui[emoji249] Ameamua kuachia ngoma tano5 kwa wakati mmoja Kuelekea sikukuu ya wapendanao wainjoi na burudani za kubebeleza Exalioth Rais wa machinga...
3 Reactions
79 Replies
9K Views
Nimeona video ikisambaa mitandaoni ikionyesha mtu anaetajwa anaitwa Mihayo akimpiga ex wife kipigo cha mbwa mwizi. Nikawa interested kumjua maana watu vile wanamzungumzia ni kama mtu fulani wa...
8 Reactions
627 Replies
91K Views
wakuu njoo mtoe comments kuhusu hii Ngoma naona kijana kaamua kumnyanganya mashabiki mpka meja kunta. Diamond platnumz ulitengeneza dubwana sasa linakutesa lenyewe. kama CCM walivyotuambia...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Meneja wake athibitisha kwamba yu hai hajafa na anaendelea vizuri Ila wamefanya kik ya kijinga sana Mungu hadhihakiwi jamani Wametembelea kik ya REMA[emoji57] Huyo gmaker na meja mwenyewe...
3 Reactions
97 Replies
14K Views
HIZI NI VIDEO KUMI ZILIZOTIZAMWA ZAIDI KWA UJUMLA KUANZIA KWENYE MZIKI, SIASA, UDAKU, MICHEZO, FILAMU, N.K Siongei sana, data hizi hapa 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Msanii mbosso Khan a.k.a Mr romantic au unaweza kumwita jina lingine muhindi wa kibiti amefurahia kufikisha miaka 2 tangu ajiunge na record label kubwa ya WCB na tangu hapo ameteka mioyo ya...
11 Reactions
115 Replies
16K Views
Aman iwe nannyi wakuu Nataka leo tumalize ubishi mazee Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule Je kuna msanii mgumu kama fidq...
1 Reactions
181 Replies
26K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm...
5 Reactions
147 Replies
16K Views
Moja Kati ya Jambo nimeona Kuna improvement kwenye mziki wetu ni suala la ubunifu wa majukwaa na hii imechangiwa na competition ya matamasha yetu especially Wasafi festival na fiesta kwa upande wa...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkali wa R&B Duniani Chris Brown amefanya mnada wa uuzwaji bidhaa zake ambazo tayari ameshazitumia au kuzivaa hasa nguo na viatu nyumbani kwake, mnada ambao utachukua siku mbili na jana. =====...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu Kwema?? Weekend hii nikiwa zangu Home napumzika baada ya Pilikapilika za Week nzima nikasema nipitie Channels za TV za Music hapa Bongo nione wana Mpya gani. Mara ukaja Wimbo wa Young D wa...
5 Reactions
39 Replies
6K Views
Kuna kipindi kipya kinaitwa cruise kareok,kuanzia saa 3 usiku hadi saa 6 jumatatu hadi alhamisi,kuna watangazaji wapya Mayaga Shishi na Kid Kiomboi wakiwa na King smash na Queen Fifi,yaani kipindi...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aweka record ya kuwa most African artist mwenye subcribers wengi baada ya kufikisha million 3 na hii imefanya uongozi wa YouTube kumpa...
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Chid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini. Hii ni...
8 Reactions
64 Replies
9K Views
  • Closed
ALBERTO MSANDO GIGY MONEY A to Z ya Video Chafu ya Gigy Money na Wakili Msando...Msando Adai Gigy Amelipiza Kisasi Aibu! Siri nzito imevuja baada ya video chafu iliyomhusisha wakili maarufu hapa...
3 Reactions
759 Replies
148K Views
Aman itamalaki Mavoko umeshuka sana kimziki haukiki wala hausikiki kabisa nyota yako imefifia na huna tena ngoma kali Sitaki kuhusisha na kuondoka kwako wasafi na kushuka kwako No ila tu...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Mondi ametangaza anakwenda tour Europe akiambatana na bendi na dancers. Live band! Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii wa BONGO FLEVA kufanya hivi katika historia na nchi inayonyemelewa na...
8 Reactions
54 Replies
4K Views
Back
Top Bottom