Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hayo mambo ya 50 percent ya uongo, believe me! Huyo mama hapo ni Joyce Luhanga ni ndiye alikuwa Mengi’s brain Jacqueline hana cha 50, 10 1 percent. Joyce yupo tangia enzi za 1980 In Trump’s...
1 Reactions
31 Replies
15K Views
Jacqueline Ntuyabaliwe (Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi) ambaye pia anajulikana kama K-Lyn alizaliwa tarehe 6 mwezi Disemba 1978 mjini Dar es Salaam, Tanzania. Ni Mwanamuziki , mfanyabiashara na...
19 Reactions
241 Replies
47K Views
Jamani nimemiss stori za huyu mdada, yale mambo yake yalikwisha?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mapokezi makubwa aliyoyapokea mbeya... Yamemshtua sana kijana wetu anaepambana kuukuza mziki Wa bongo fleva. Mji wa mbeya umezizima siyo kawaida... Na hapo unaambiwa ni maandalizi ya kuupokea...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa wapenzi wa muvi za Fantasy, Mystery and Adventure basi jina la Johnny Philip Depp almaarufu Captain Jack Sparrows 55, Sio geni kwenu. Kacheza muvi kubwa nyingi duniani ambazo zimezalisha zaidi...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Hawa jamaa nilikua nasikia tuu kua wana bifu ambalo hakuna wa kuamua ila leo nimeamini. Cheki hii verse kutoka kwenye wimbo wa Rick Ross unaoitwa BUY BACK THE BLOCK anamwambia 50 Cent kua "nina...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Ed sheraan wametoa wimbo Mpya unaoitwa put it all on me.kuna kipande kinaonesha mandhari ya Tanzania na Zanzibar,imekaa vizuri sana,kama haujaicheki ingia youtube Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Source ;wasafi tv and clouds fm Facebook and YouTube channel Akitengeneza nyimbo kama Niache ya Diamond platnumz Utatulia ya lava lava Na nyingine nyingi za harmonize Sababu anasema ni maslahi
1 Reactions
7 Replies
3K Views
SABABU ZA HARMONIZE KUTOKA WCB (Sababu ya ukweli yaani) Ni baada ya kuchoshwa na maonevu ya blaza aliyechoka kuandika mashairi yake peke yake, na kulazimisha kuingia kwenye kila wimbo wake ambao...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama Mungu angeniuliza unaitaji nani nimrudishe dunia mtu wa kwanza ningemtaja huyu dada Regina Luhanga alikufa kwa ajali ya gari kule Korogwe wakampelekea ndege kumleta Dar. Mungu akampenda...
2 Reactions
48 Replies
12K Views
Leo ametoa wimbo akiwa na mpenzi wake kwangu mimi ni ya kawaida ila ajabu sasa Ndani ya masaa 5. 1.Imekamata number 1 kwenye trending 2.imetazamwa na watu zaidi ya laki 4 Sent using Jamii...
2 Reactions
66 Replies
8K Views
Mwanzoni mwa mwaka wachawi walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kujaribu kuififisha nyota ya Diamond Platinumz lakini Mungu bado amesimama upande wake. Kwa kawaida Diamond hupata followers si chini ya...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuna muda unacheki muvi ni mbaya ila unabidi uicheki mwanzo mwisho kwa ajili tu umemuona mdada fulani humo.. To me I like Badass girl.. Wale wababe, Wana matendo ya kibabe applied in reality...
1 Reactions
161 Replies
24K Views
Aliyekuwa mwendeshaji wa kipindi maarufu Uingereza cha Love Island, Caroline Flack amejiua jana nyumbani kwake London. Caroline alikuwa ni mwendeshaji wa kipindi hicho kwa miaka kadhaa mpaka...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
"Asubuhi kabla ya jogoo kuwika uniamshe na kimoko" nami NAKAZIA hapo hapo,kwa afya ya akili na mwili hii kitu ya asubuhi ni muhimu sana utafiti unaonyesha 99% ya wanaopata cha asubuhi wanaamka na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
1.MAPENZI NA NGONO:Ngono ni moja kati ya sababu kubwa za mtu hasa wanawake kuingia kwenye industry.Kama mdada ana makalio makubwa, nyonyo za kueleweka na factors nyingine zenye kuamsha tamaa za...
63 Reactions
157 Replies
24K Views
Wema Sepetu ametangaza mwenyewe mitaani na mitandaoni kwamba aliwahi kutoa mimba mbili za Marehemu Kanumba, kwamba " alivinyongelea " mbali vitoto vya Kanumba (bado haijafahamika sababu ya kufanya...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Mwanadada asiyeishiwa vituko Wema Sepetu (Tz sweetheart) baada ya kuamua kupunguza umbo lake huu ni muonekano wake mpya. Baadhi ya mashabiki zake wengine walimsifia kwa uamuzi aliochukua na...
5 Reactions
96 Replies
33K Views
Jana wakati nimeenda account ya insta ya Professor Jay nimeona amerusha show yake live aliyofanya Congo. Jamaa amejaza uwanja na amepiga show ya kufa mtu. Honestly nimefuraishwa sana na...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada, wengi wetu tukisikia jina la Tenko au tekno miles . Basi ni ukweli usiopingika moya kwa moya kama siyo moja kwa moja , kila mtu anajua kuwa huyo ni mkali toka pande...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom