Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,616
- 21,432
Mwanzoni mwa mwaka wachawi walifanikiwa kwa kiasi kikubwa kujaribu kuififisha nyota ya Diamond Platinumz lakini Mungu bado amesimama upande wake.
Kwa kawaida Diamond hupata followers si chini ya elfu 7 kwa siku lakini wachawi wasiopenda maendeleo walifanikiwa kuififisha nyota ya Diamond kwa kuiwekea ukungu ili kumfanya apoteze mvuto lakini mwisho wa siku dawa zao zimedunda na mbaya zaidi kibao kimewageukia wameanza kulumbana wao kwa wao.
Hivi kweli Diamond wakupata followers mia 7 kwa siku?
Kwa kawaida Diamond hupata followers si chini ya elfu 7 kwa siku lakini wachawi wasiopenda maendeleo walifanikiwa kuififisha nyota ya Diamond kwa kuiwekea ukungu ili kumfanya apoteze mvuto lakini mwisho wa siku dawa zao zimedunda na mbaya zaidi kibao kimewageukia wameanza kulumbana wao kwa wao.
Hivi kweli Diamond wakupata followers mia 7 kwa siku?