Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Kama Mungu angeniuliza unaitaji nani nimrudishe dunia mtu wa kwanza ningemtaja huyu dada Regina Luhanga alikufa kwa ajali ya gari kule Korogwe wakampelekea ndege kumleta Dar.
Mungu akampenda zaidi pale Muhimbili,alikuwa friend,lovely sijui nisemeje
dada aliekuwa mcheshi aringi tofauti na marafiki zake waliokuwa nyuma yake
Regina tutakukumbuka daima,.
Familia yangu na marafiki zangu wanakumbuka
ucheshi wako......sitosahau utani ulikokuwa nao ukituchekesha kila ukija nyumbani
Mungu akulinde uko ulipo.
We miss U much """"""""""""""BEST"""""""""""""""""""""""""""""
Mungu akampenda zaidi pale Muhimbili,alikuwa friend,lovely sijui nisemeje
dada aliekuwa mcheshi aringi tofauti na marafiki zake waliokuwa nyuma yake
Regina tutakukumbuka daima,.
Familia yangu na marafiki zangu wanakumbuka
ucheshi wako......sitosahau utani ulikokuwa nao ukituchekesha kila ukija nyumbani
Mungu akulinde uko ulipo.
We miss U much """"""""""""""BEST"""""""""""""""""""""""""""""