Zuchu na Diamond wapata mtoto wa Kike

Zuchu na Diamond wapata mtoto wa Kike

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
418
Reaction score
553
Msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz na Mkewe Zuchu wamethibitisha ujio wa Mtoto wao baada ya Diamond kuchapisha picha ya kuwa Zuchu amejifungua salama.

1785658658671.png
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameandika "Welcome to the world, our precious little angel. You are already loved more than words can ever say!"

"Karibu duniani, malaika wetu mdogo wa thamani. Tayari unapendwa kuliko ambavyo maneno yanaweza kueleza."

Soma: Zuchu na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa kike

Ujio wa Mtoto huyo unakuja siku chache baada ya wawili hao kufanya Baby Shower, ambapo walikuwa wakisubiri kumpokea Mtoto wao wa Kike, hadi sasa jina la Mtoto havijatangazwa rasmi na Wazazi hao.

1785658625538.png
 
Ila zuchu ana uvumilivu wa hali ya juu kwa mwambino,, alisema Mama Tee asingeweza kwa mwambino congratulations fir zuchu mama sanura
 
Back
Top Bottom