Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nasikiliza huu ujio mpya wa Mwana FA ft Harmonize. Kweli Mwana FA ni Jay Z tulienae. Punchline[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
11 Reactions
104 Replies
8K Views
Hizi video zilizopostiwa na Afande Sele. Aisee jamaa amechoka, siyo yule aliyesumbua na nguo zake nyekundu.
4 Reactions
65 Replies
10K Views
Harmonize ametoa wimbo unaohamasisha matumizi ya bange lakini cha ajabu mpaka sasa serikali bado haijamchukulia hatua zozote za kinidhamu. Huyu jamaa ulimbukeni na ushamba vinampeleka puta sana...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Nauliza kwa wale wapenzi wa action movies je kuna sehemu mmewahi kumuona huyo martial artist amevua shati? The same apply kwa Salman Khan nae sijui kama wenzangu mmewahi kumuona akimaliza muvi...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Mnyetishaji wetu ametupa taarifa za ndani hali sio shwari ndani ya himaya ya konde Gang. Hii ni baada ya mapenzi motomoto ya boss wa lebo hiyo na mpenzi wake Kajala penzi lao kuingiliwa na ruba...
5 Reactions
31 Replies
5K Views
Kwa wenye kuweza watch EATV now!, Mhe. January Makamba yuko live kwenye kipindi cha Mikasi kinachoendeshwa na Salama Jabir!. Please watch it!, Salama is dam good!.
1 Reactions
29 Replies
10K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Yule rapa mtata kunako game anyeongoza kujaza viwanja vikubwa ndan ya africa na nje ya africa casper nyovest ndo...
4 Reactions
24 Replies
5K Views
Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi. Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald...
10 Reactions
62 Replies
15K Views
WANAMUZIKI WA TANZANIA WALIOTAZAMWA ZAIDI YOUTUBE NOVEMBA 2022 1. diamondplatnumz 2. @OfficialZuchu 3. @rayvanny 4. @harmonize_tz 5. @mbosso_ 6. @realjaymelody 7. @Marioo_Tz 8. @mavokali_ 9...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Hawa vijana wanajiingiza kwenye maisha ya ushetanini. Kama ushetanini siyo Kiswahili basi tutajua, huwezi ukatoka nje na kipichu tu. Hata kama unakasoro mwilini ni siri ya ndani. Hata kama...
2 Reactions
41 Replies
8K Views
Boss wa Kondegang Music Worldwide @harmonize_tz ametangaza kuchaji Tsh Milioni 100 kwa wasanii watakaotaka kufanya naye Collabo huku sharti lake ngoma iwe kali tu. "Naanza kuchaji Tsh Milioni...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Kim Kardashian na Ye (zamani akijulikana kama Kanye West) wamefikia suluhu kuhusu talaka yao. Kwa mujibu wa nyaraka za Mahakama, Kardashian atapokea $200,000 zaidi ya Tsh. Milioni 460 kwa mwezi...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Account ya Kanye West ya Twitter imekuwa suspended kwa madai kuwa amevunja sheria za twitter na kuandika lugha inayoashiria uvunjifu wa amani. Asubuhi ya December 2, Kanye alipost picha ya Elon...
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Imezoeleka watoto wa mabilionea kuwa na kashfa mbalimbali kama za kifisadi, madawa ya kulevya, wizi, umalaya nk but kwa watoto wa huyu mzee maarufu imekuwa tofauti sana kusikia kashfa zao. Ni...
36 Reactions
280 Replies
131K Views
Mmh shoga kashaona wamachame maji marefu kaamua kujipendekeza mwenyewe yaishe mxieew umaskini mbaya, kaa upate mgawo wako ulee watoto wako, watoto wa mengi sio maskin kama wewe, shukuru Mungu tu...
8 Reactions
79 Replies
9K Views
Jarida la Forbes limemuondoa rapa na mfanyabiasnara Kanye ‘Ye’ West kwenye orodha ya wasanii mabilionea, baada ya mkataba wake na kampuni ya mavazi ya Adidas kuvunjwa leo. Kanye amebaki kuwa na...
8 Reactions
24 Replies
4K Views
Kuna watangazaji wanavutia kuwasikiliza au kuwatazama pindi wanapokuwa wanatoa taarifa au kuongelea jambo fulani. Kwa upande wangu hawa nawakubali sana, Kuvichaka #Jabilsaleh wa EFM na TV E na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Amepost kwenye insta story yake MWANAMUZIKI maarufu wa Hip Hop nchini na mbunge mstaafu wa Mikumi, Joseph Haule (Prof. Jay) aliruhusiwa kurejea nyumbani Juni 9, 2022 kutoka hospitali alikokuwa...
27 Reactions
41 Replies
12K Views
Back
Top Bottom