Wabongo hatunaga story za kusaidiana mawazo ya kujikwamua kutoka sehemu moja kiuchumi kwenda nyingine... Yaani tunaongoza kwa kushabikia vitu visivyo na faidaJarida la Forbes limemuondoa rapa na mfanyabiasnara Kanye ‘Ye’ West kwenye orodha ya wasanii mabilionea baada ya mkataba wake na kampuni ya mavazi ya Adidas kuvunjwa leo.
Kanye amebaki kuwa na utajiri wa Tsh. Bilioni 900.
Huyu si ni mfuasi wa shetani? Imekuwaje shetani kashindwa kumsaidia asinyang'anywe mkataba?Jarida la Forbes limemuondoa rapa na mfanyabiasnara Kanye ‘Ye’ West kwenye orodha ya wasanii mabilionea baada ya mkataba wake na kampuni ya mavazi ya Adidas kuvunjwa leo.
Kanye amebaki kuwa na utajiri wa Tsh. Bilioni 900.
Bwana mkubwa maisha ya leo hayahitaji kukomplicate vitu relax mkuu, mbona thread zipo nyingi humu za muhimu kwa maendeleo ya taifa, ungebaki huko, huku ungewaacha hao unaowaita mainstream.Mainstream media bwana! Hapa mnaaminishwa hii ni habari muhimu sana ambayo inamhusu hata mwananchi wa kawaida. Tuna consume vitu ambavo having hata umuhimu na kuvishabikia. Insane world we live in now.
Nenda jukwaa LA siasa mkuu mkajenge taifaMainstream media bwana! Hapa mnaaminishwa hii ni habari muhimu sana ambayo inamhusu hata mwananchi wa kawaida. Tuna consume vitu ambavo having hata umuhimu na kuvishabikia. Insane world we live in now.
Ila sasa hii ni Celebrities Forum.Wabongo hatunaga story za kusaidiana mawazo ya kujikwamua kutoka sehemu moja kiuchumi kwenda nyingine... Yaani tunaongoza kwa kushabikia vitu visivyo na faida
Asante mkuuIla sasa hii ni Celebrities Forum.
Lipo Jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Special forum for those interested in Business and Economics discussionswww.jamiiforums.com
Kuna Jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Kuna Jukwaa la Kilimo, Ufugaji na Uvuvi
Kuna Jukwaa la Ujenzi na Makazi
Jukwaa la Ujenzi na Makazi
An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workerswww.jamiiforums.com
Kuna Jukwaa la Ajira na Tenda
Jukwaa la Ajira na Tenda
Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!www.jamiiforums.com
Kuna Jukwaa la Matangazo Madogo
Matangazo madogo
ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.www.jamiiforums.com
Mengine ni kutuonea tu Watanzania
Kuna Jukwaa la SiasaMainstream media bwana! Hapa mnaaminishwa hii ni habari muhimu sana ambayo inamhusu hata mwananchi wa kawaida. Tuna consume vitu ambavo having hata umuhimu na kuvishabikia. Insane world we live in now.
of all the contents humu JF bado umechagua kuja kulalamikia hii mkuu? kuna watu wanazitaka hizi na ni free world hii unachagua unachotaka kuona au kusikiaWabongo hatunaga story za kusaidiana mawazo ya kujikwamua kutoka sehemu moja kiuchumi kwenda nyingine... Yaani tunaongoza kwa kushabikia vitu visivyo na faida
6 billion $(US)Hapo kabla akiwa na Adidas alikua na bei gani?
Exactly.Nenda jukwaa LA siasa mkuu mkajenge taifa
Mbona majukwaa ni mengi tu mkuu? Vitu vyenye faida ni vipi?Wabongo hatunaga story za kusaidiana mawazo ya kujikwamua kutoka sehemu moja kiuchumi kwenda nyingine... Yaani tunaongoza kwa kushabikia vitu visivyo na faida
Wafuasi wa shetani ndiyo wanamteremsha sasaHuyu si ni mfuasi wa shetani? Imekuwaje shetani kashindwa kumsaidia asinyang'anywe mkataba?