Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu? Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli, pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote...
15 Reactions
334 Replies
27K Views
Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata...
9 Reactions
74 Replies
12K Views
Guys, msione Kajala anaandika magazeti hapo as if yeye ndo kamuacha Harmonize. It's the opposite, this time Harmonize ndio kamuacha Kajala... Just kuwapa short story ya event ya mwisho kabisa...
13 Reactions
149 Replies
22K Views
Zamaradi Tena kaongwa kitu kipya zeroo km Aina ya range Rover autobiography Kali sana hapa mjini DSM. Dada yetu ana bahati ya peke haswa kwa kipindi hiki huwezi pata mwanaume akuonge pesa ndefu...
10 Reactions
327 Replies
26K Views
Lucky Philip Dube maarufu kama “Lucky Dube” mzaliwa wa Mpulanga Afrika kusini. Huyu ni miongoni mwa wanamuziki ninao wahusudu na kuwapa heshima kubwa hapa barani Afrika na duniani kwa ujumla...
14 Reactions
102 Replies
8K Views
Kwa wale wa penzi wa vichekesho na burudani. Bwana Gibson Gathu Mbugua ambae alikua akiigiza kama mwendesha mashtaka Mkuu wa kipindi cha Vioja Mahakamani huko Kenya amefariki Dunia. Kipindi cha...
26 Reactions
85 Replies
7K Views
Kwangu mimi MFALME - Q chief Nikilala naota - jide Namtafuta aseme Kama unataka demu - Solo thang kazi ipo - wanaume Sintobadilika - Mie tee Malkia - Ray C Uko wapi Soge sogea Na wewe Milele...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Huyu mzungu ni kati ya maproducer bora kabisa waliowahi kutokea bongo fleva, zijue ngoma alizotengeneza: 1. Twenzetu - Chegge 2. Salome- Dully sykes 3. Mabinti wa Kitanga- Bwana Misosi 4. Barua -...
10 Reactions
156 Replies
42K Views
Chanzo kikuu kilichomuanoda Mendez Salam SK wcb ni hiki shuka na mimi Mendez kama meneja alimshauri boss wake Diamond kwenye relationship status hawez kuwa na Zuchu Maana hana mvuto kibiashara...
14 Reactions
47 Replies
8K Views
Huyu mwamba ana msimamo sana. Walitaka kumpa bil 2 kuperform siku ya fainali jamaa akasema kama Beckham amekula bil 200 kuwa balozi basi yeye apewe bil 4 jamaa wakakataa, Diamond naye akachomoa...
22 Reactions
75 Replies
7K Views
Nauliza tu yuko Qatar kikazi ama kuponda raha? Na nani anagharamikia hizi anasa? Isije kuwa tu ni kodi zetu.
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Picha hiyo ya Lionel Messi aliyoposti kwenye ukurasa wake wa Instagram saa kadhaa baada ya timu yake ya Argentina kutwaa taji hilo, imeweka rekodi ya kuwa picha yenye ‘likes’ nyingi katika...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Unjani sabuwona Wakuu leo jumapili yangu imeenda poa sana mamilioni yanaendelea kutililika tu sijui nyie majobless wenzangu kikao cha harusi yangu kinaenda vizuri sana muda si mrefu...
4 Reactions
4 Replies
871 Views
Umri unakwenda ila kipindi cha clouds FM na TVT kabla kuitwa TBC walitamba sana. ~ Aisha kimobitel na nyimbo ya Mgumba ~ Mao santiago kipindi yupo Chuchu Saundi ~ Banza Stone ~ Mwinjuma Muumini...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Kazi yangu leo ni Kusoma tu Mirejesho yenu ( Comments zenu ) juu ya Jambo nililoliuliza hapo juu katika Kichwa changu cha Habari.
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna kijana mmoja aitwae Baraka, alitrend sana na kuvuta hisia za watu wengi kipindi kile cha awamu ya tano kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuigiza sauti ya Rais Magufuli. Alijizolea umaarufu...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
“The Kid You Know” albamu ipo masikioni mwa mashabiki wa Marioo tangu December 9. Albamu hii yenye nyimbo 17 imepambwa na kolabo 12 za Afrika, miongoni mwa kolabo kubwa zinazopatikana humu ni I...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
Hivi kuna mwenye profile ya huyu mke wa waziri mkuu?
3 Reactions
120 Replies
33K Views
Iwe ni wewe ama director, mtu anaigizia kama Rubani halafu anavaa kofia ya Polisi?
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom