Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hii nibtathmini yangu binafsi juu ya bongo flavour honours.Kwanza inaonekana waimbaji wa zamani bila kujalisha yupo au hayupo kwenye game bado wana mashabiki wengi ambao wangependa kuwa wanawaona...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
KHALIGRAPH - Bongo Favour Lyrics π“π€π…π’πˆπ‘πˆ 𝐙𝐀 πŠπˆπ’π–π€π‡πˆπ‹πˆ π™πˆππŽ Tusahishane kama kuna makosa+nyongeza Yeah nafanya TZ mbogi ipaniki ᴍʙᴏɒΙͺ = α΄‹α΄œΙ΄α΄…Ιͺ, α΄κœ°α΄€Ι΄α΄ α΄‘α΄€Ι΄α΄€α΄α΄’α΄œΙ΄Ι’α΄œα΄α΄’Ιͺα΄‘α΄€ ʜᴜᴍᴜ Wakiona OG amejam...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
We talk about Consistency(muendelezo). mkubwa Papaa Jones anawasha moto since day one kiukweli tukiweka uzalendo pembeni kwa bongo hii nani tunaweza kumuamini akabattle na Khaligraph? Mimi ni...
10 Reactions
37 Replies
4K Views
Wakuu, Nipo Naangalia Clouds TV,Kipindi cha Ng'ari Ng'ari,na Host wa Kipindi Anamuhoji Snura! Snura Anashukuru Kufunguliwa kwa Chura Wake na Kuna Video Mpya ya Chura,Aliyefungiwa kwa Siku Mingi...
5 Reactions
58 Replies
14K Views
Habari wakuu, Nilikuwa najaribu kufikiria hapa vijana waliowahi kutamba kutoka mwanza wengi wakiwa signed na record label ya TETEMESHA PRODUCTION. ambayo inamilikiwa na Mtangazaji wa RFA, Kidbway...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Jamani huyu Mama ,nimeshangaa sijamuona katika kipindi hiki mme wake alipata misukosuko. Somo: Nyie wababa msiache wake wa ujana wenu. Mjue fainali uzeeni. Ninakumbuka kipindi kile Mama Rose...
12 Reactions
53 Replies
6K Views
Nyota wa klabu ya Alnassr na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuwa anakodisha/pangisha jumba lake la Kifahari lililopo katika jiji la Madrid nchini Unispania kwa euro 10,000 tu...
9 Reactions
54 Replies
5K Views
habari zenu wadau wa hiphop/rap naona harakati zinaendelea, niende kwenye mada itoshe kusema kaligraph jones anajiamini alafu ameshaona gemu ya ya bongo upande wa rap imedrop sana anadai watu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa hii karne wanawake wameibuka Kama watawala wapya. Hawa watawala wana nguvu sana, wanalindwa sana. Nguvu zao ni kubwa sana mpaka wanaume wameanza kufanana nao. Lakini jee? mmeona emperor's...
0 Reactions
1 Replies
851 Views
Hizi Amapiano toka zilipo anza kuvuma South Africa na wasanii wengi wa Afrika kuanza kuzifanya Wasauzi wamebaki kuwa watabe wa huu mziki. Wasanii wengi wa nje ya South Africa wanaofanya na wanao...
14 Reactions
59 Replies
8K Views
Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate. Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu...
19 Reactions
153 Replies
11K Views
Forex milionea amekula kona n mamilion ya shilingi ,kaacha mke na watoto sauzi kakimbilia ughaibuni ,na polis washatoa warant ya kumkamata popote. ========== Sandile Shezi: Everything to know...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Jana mida ya saa 5 usiku katika baa moja maarufu maeneo ya Sinza (jina kapuni) kulitokea patashika baada ya mtangazaji Adam Mchomvu na msanii Ney wa Mitego kukutana. Chanzo cha ugomvi huo ni...
18 Reactions
124 Replies
15K Views
Wakazi Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao. Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir...
14 Reactions
96 Replies
7K Views
Ney Wamitego ameamua kulipa fadhila kwa kupiga shoo za chimbo hadi chimbo akijua yakwamba hata kijijini kunamashabiki zake ambao tunamsapoti Ni katika Machimbo ya Nyangalata, na Nyandolwa...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Sikiliza freestyle season 3 utakuja kusalute mwenyewe.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wengine mna tuvigari twenu twa Shilingi Milioni Tatu hadi Saba huku Mikopo ya Kulipia mkiwa bado hamjamaliza mkiwa mitaani Mnaringa na kujiona ni Matajiri na Maisha mmeshayapigia Denge Kimafanikio...
6 Reactions
49 Replies
6K Views
WANAMUZIKI WALIOWAHI KUTOA NYIMBO ZILIZOKUWA MBELE YA WAKATI WAO Nawasalimu kwa jina la chama pendwa CCM. Namshukuru Mungu tumefika leo salama. Ninafurahi kuufunga mwaka nikiwa nimeandika uzi...
7 Reactions
84 Replies
13K Views
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo...
11 Reactions
74 Replies
6K Views
Nadhani huu ni muda muafaka sasa wa kubadili jina la Wasafi Classic Baby (WCB) ibaki tu Wasafi Classic au Wasafi Classic Family. Kwa ukubwa alionao Diamond Platnumz kimuziki na kimafanikio...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…