Jamani yupo wapi "First Lady" Josephine Mushumbushi (Mrs Dr Slaa)

Jamani huyu Mama ,nimeshangaa sijamuona katika kipindi hiki mme wake alipata misukosuko.

Somo:Nyie wababa msiache wake wa ujana wenu.Mjue fainali uzeeni.

Ninakumbuka kipindi kile Mama Rose Kamili na watoto wake.
Rose Kamili unamjua vizuri? Ukiona mtu kaachana na mkewe wakati mwingine analazimika tu sio kwa kupenda. Josephine Mushumbusi ndo alisababisha CHADEMA walaanike kwa kutojali damu yake aliyoimwaga kwenye vurugu za tarehe 05/01/2011 kule Arusha wakati akitetea chama. Kitendo cha CHADEMA kumtukana hawara wa Josephine kiliiimaliza CHADEMA hadi leo.

Mimi zamani nilikuwa siamini kama laana ya hawara wa mtu inaweza kukupata ila kwa jinsi CHADEMA ilivyovurugwa nimekuja kuamini laana ya hawara wa Slaa inafanya kazi kwa CHADEMA.
 
Rose Kamili unamjua vizuri? Ukiona mtu kaachana na mkewe wakati mwingine analazimika tu sio kwa kupenda. Josephine Mushumbusi ndo alisababisha CHADEMA walaanike kwa kutojali damu yake aliyoimwaga kwenye vurugu za tarehe 05/01/2011 kule Arusha wakati akitetea chama. Kitendo cha CHADEMA kumtukana hawara wa Josephine kiliiimaliza CHADEMA hadi leo.

Mimi zamani nilikuwa siamini kama laana ya hawara wa mtu inaweza kukupata ila kwa jinsi CHADEMA ilivyovurugwa nimekuja kuamini laana ya hawara wa Slaa inafanya kazi kwa CHADEMA.
Hii akili matope
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom