incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,229
- 3,525
Habari wakuu, Nilikuwa najaribu kufikiria hapa vijana waliowahi kutamba kutoka mwanza wengi wakiwa signed na record label ya TETEMESHA PRODUCTION. ambayo inamilikiwa na Mtangazaji wa RFA, Kidbway, wanaishia pabaya sana wengi wao huishia maisha ya puto, yaani kuvuma mda mchache na kujulikana kwa kasi kisha kupotea gafla na kuishia mitaani katika hali mbaya kuliko mwanzo,
Hapa sijajua tatzo linatokana na nini,
Mafano wa wawasanii ambao walipitia mkononi mwa KIDBWAY
SAJNA,
C SIR MADINI
BARAKA DA PRICE
MO MUSIC
MC KOYO
HUSEIN MACHOZI
Na wengineo hawa wote kwa namna moja waliwahi kupita mikononi kwa TETEMESHA PRODUCTION. ila wote walivuma sana lakin hadi sasa hakuna ambae yupo mainstream tena.
Hapa sijajua tatzo linatokana na nini,
Mafano wa wawasanii ambao walipitia mkononi mwa KIDBWAY
SAJNA,
C SIR MADINI
BARAKA DA PRICE
MO MUSIC
MC KOYO
HUSEIN MACHOZI
Na wengineo hawa wote kwa namna moja waliwahi kupita mikononi kwa TETEMESHA PRODUCTION. ila wote walivuma sana lakin hadi sasa hakuna ambae yupo mainstream tena.