Diamond alipokutana na Kagame Rwanda alionesha Mapungufu ya Kiitifaki

Muite

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
2,347
4,807
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

 
Wa bongo na kukosoa kosoa hamjambo, ulitaka ampigie magoti au? jua yule ni msani maisha yake yote niakisani ndo huo usani ndo umemfanye akutane na PK, Rwanda inamhitaji sana kuipromote kuliko Diamond anavo hitaji Rwanda kumpromote,........sisi wajinga tunashindwa kutumia diamond kuuza utali wetu tuko bzy kumkosoa tu foolish.
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Uyo jamaa ushaambiwa ni msanii itifaki inatokea wapi. Wasanii uwajui wewe
 
Diamond alimtreat Kagame kama mzazi. Ni kama vile alikuwa anaongea na Baba ndio maana kwa heshima kubwa alivua kofia kabla ya kumwambia Mzee Kagame " Shikamoo". Na wakati wote Mzee Kagame akiwa anaongea Diamond alikuwa anaweka mikono yake katika lugha ya mwili inayo onyesha heshima na utiifu kwa mamlaka
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Yaani tukae hapa jukwaa la siasa kumjadili Diamond wakati bandari zetu zimegawiwa bure kwa waarabu na watanganyika waliokataa udalali wa serikali wamepewa kesi ya uhaini!
 
Mlioona clip ya juzi ikimuonyesha Diamond akiwa Rwanda na kukutana na Rais Kagame utaona Approach yake kwa kiongozi huyo ilivyokuwa na kasoro, jinsi Diamond alivyokuwa anamuongelesha Rais huyo ilikuwa kama vile anaongea na Babu Tale au mtu mwenye hadhi ya kawaida tu.

Pia alionekana mara nyingi yeye akimpa mkono Rais na hata kuutikisa. Itifaki inatuongoza kuwa kiongozi ndiye awe wa kwanza kutoa mkono wake, na ni kiongozi tu ndiye atakayetikisa mkono wako.

Simlaumu Diamond ila namshangaa Meneja wake kwa kuwa ninaamini Meneja anatakiwa kujua mambo mengi na sio mambo ya muziki tu. Meneja anatakiwa kuwa mdadisi na anatakiwa kumuandaa boss wake kulingana na nature ya tukio/occasion iliyopo mbeleni.

Tuangalie jinsi wasanii wengi wakubwa wanavyojiweka wanapokutana na viongozi wakubwa wa kitaifa. Mfano Jay-Z au Michael Jackson alipokaribishwa Uingereza na kukutana na King Charles na aliyekuwa Mkewe (Prince Diana). Kwa ukubwa na umaarufu wa Michael Jackson ulivyokuwa lakini alionyesha Approach nzuri sana kiitifaki.

Diamond kwa ukubwa na umaarufu alionao sasa ni dhahiri anahitaji Meneja msomi lakini mwenye exposure kubwa.

Tafuta hela hakunaga itifaki kwa mwenye hela.
 
Back
Top Bottom