Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wakuu kwema?? Msaada kidogo. Nime download Album zaidi ya 7 pale Audiomack, Na ngoma kibao hasa zile za kitambo(old schools) Mana sehemu zingine sikuzipata. Nimepakua ili hata nikiwa offline...
1 Reactions
8 Replies
906 Views
Roma ni mzarendo na anaipenda nchi yake kwa dhati. Licha ya kuishi nchi ya mbali na nyumbani, tena nchi ya kitajiri, moyo wa Roma umekuwa ukinung'unika sana kuona ni kwa namna gani pesa za kuezeka...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Mtanzania wa kwanza mwenye tattoos mpaka kwenye shingo na vipuli vya almasi masikioni kuingia bungeni na ikulu ya Tanzania! Hii imekaaje wakuu?
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Katika jambo ambalo naona haliko sawa hadi leo ni suala la Kuanza kutaja madeni ya marehemu msibani kama kuna mtu anamdai why asiifate familia kumtunzia heshima marehemu? Kwenye msiba wa Lemutuz...
28 Reactions
85 Replies
12K Views
Baada ya Adidas kusitisha kufanya kazi na yeezy inayomilikiwa na mkali wa miondoko ya Hiphop Kanye West, Ina ripotiwa Adidas wamepoteza takribani USD million 540. Sasa basi Kanye West kaamua...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimemfuatilia hivi karibuni baada ya kutoka India kwenye Operesheni ya Moyo naona anatukanatukana watu tu hovyo wanaochangia Post zake. Nadhani kuna shida mahali,nasikia aliwekewa mashine kwenye...
37 Reactions
69 Replies
7K Views
Katika Ulimwengu wa Utandawazi wasanii wamebahatika kuwa na uwanja mpana sana wa kuzitangaza Kazi zao, na moja ya karata muhimu ni mahusiano. Hii hutumiwa na wengi sababu ya urahisi wake (haina...
8 Reactions
21 Replies
3K Views
Hii tabia ya kupiga wasanii in public imeshakua ni tabia yako Sasa, ukidhani kuwa wewe ni nunda na ni mkakamavu sana. Ulimpiga mtama mbasha kwenye jukwaa bila aibu na ukajizolea umaarufu ukajiona...
32 Reactions
122 Replies
14K Views
Kuna Ile kauli mwembamba Africa hayupo, ni juhudi zako tu. HAPA ni Jacob Steven, JB mwigizaji na director noma Bongo akiwa dogo flani na alivyo sasa. Picha hiyo inamuonyesha Jb picha ya zamani...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Nilishaongea sana na sasa naona kazi kurudia . Icheki hii video fupi hapo chini uone jinsi akili za Mwafrika huyu na ma bodyguards wake Mimi ni Mtanzania ila simjui huyu kijana I mean sio...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni shabiki wako mkubwa sana na pia ni role model wangu ktk maisha ya kujitegemea japo wewe mwenzangu una msaada wa wazazitofauti na mimi sina wazazi . Ila kuna kitu sikipendi japo si kibaya...
11 Reactions
378 Replies
60K Views
Yaani Nigeria haijilishi ameanza mziki Leo au miaka iliyopita wanavutia sana kila mtu anakuja kwa style Yake mfano mani Omah Lay hatari sana Ana hit song zinabamba sana.
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Kumekuwa na tabia ya ajabu sijui ilianzishwa na nani ya vilabu kuajiri wasemaji ambao hawahusiki na mchezo uwanjani. Vilabu vya wenzetu waliondelea huwezi kukuta mtu ambaye hausiki na mechi...
2 Reactions
6 Replies
887 Views
Kwa wale wanajamii wafatiliaji wa muziki wa kufoka (Hip Hop) nadhani hayo majina na kilichokajiri haviwezi kuwa vigeni kwenu. Kwa uchambuzi wa kawaida tukizingatia ushairi, style na production...
0 Reactions
83 Replies
12K Views
Mwanamziki aliyefanikiwa zaidi Tanzania, Diamond Platnum aka Simba ameweka wazi kuwa yeye na Zuchu ni dada na kaka na sio wapenzi kama wengi walivyokuwa wanafikiria au kujua. Kupitia insta story...
11 Reactions
57 Replies
6K Views
Mpishi huyo wa Nigeria amekuwa mtu maarufu wa kitaifa baada ya kupika bila kupumzika kwa zaidi ya saa 90 na kuvunja rekodi ya saa 87 na dakika 45 iliyowekwa huko Rewa, India ya kati mnamo mwaka wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Msanii Juma Kilowoko (SAJUKI) amefariki dunia leo alfajiri katika hospitali ya Taifa Muhimbili. Kwa mujibu wa Katibu wa chama cha waongoza Filamu Wilaya ya Ilala, Rajabu Amiri hivi karibuni...
8 Reactions
325 Replies
54K Views
Wimbo wa Roma ni Mzuri, na umeongea mambo yenye ukweli, ila mambo mengine ameyasema hakupaswa kuyasema. Katika wimbo wake amesema January kugongeana Sigara, sawa sote tunajua January ni Chain...
8 Reactions
43 Replies
5K Views
Nyota wa Muziki wa Hip Hop na mshindi wa Tuzo ya Msanii Bora wa Hip Hop kupitia Tuzo za TMA, Rosa Ree amepata mtoto. Taarifa hiyo ameithibitisha kupitia ukurasa wake wa Instagram.
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Mobimba Le Nyeyenye kamshukuru Rais JPM kwa kuokoa maisha yake maana ilibaki dakika 30 tu afe. Hii inadhihirisha ile kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwamba inabidi hata Mungu amshukuru JPM. Kwa...
5 Reactions
82 Replies
13K Views
Back
Top Bottom