MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,486
- 20,438
Jana mida ya saa 5 usiku katika baa moja maarufu maeneo ya Sinza (jina kapuni) kulitokea patashika baada ya mtangazaji Adam Mchomvu na msanii Ney wa Mitego kukutana.
Chanzo cha ugomvi huo ni baada ya Mchomvu kupata kopi ya singo mpya ambayo haijatoka rasmi kutoka kwa Ney ambayo kuna jina la Mchomvu limetajwa ndani.
Watu waliokuwa karibu na mastaa hao walimshika Mchomvu na hivyo wakafanikiwa kuokoa maisha ya Ney wa Mitego yaliyokuwa hatarini.
Chanzo cha ugomvi huo ni baada ya Mchomvu kupata kopi ya singo mpya ambayo haijatoka rasmi kutoka kwa Ney ambayo kuna jina la Mchomvu limetajwa ndani.
Watu waliokuwa karibu na mastaa hao walimshika Mchomvu na hivyo wakafanikiwa kuokoa maisha ya Ney wa Mitego yaliyokuwa hatarini.