Wasanii Mjifunze Kwa Ney Wamitego Rais Wa Kitaa Jamaa Yupo Vizuri Kwa Kulipa Fadhila

exalioth

JF-Expert Member
Jun 22, 2016
2,190
3,685
Ney Wamitego ameamua kulipa fadhila kwa kupiga shoo za chimbo hadi chimbo akijua yakwamba hata kijijini kunamashabiki zake ambao tunamsapoti

Ni katika Machimbo ya Nyangalata, na Nyandolwa Shinyanga amejaza shoo safi kabisa akakunja pesa zake na juzi tu alikuepo hapa kwenye Kisenta kidogo cha Lulembela kakunja hela zake kaenda Ushirombo kakunja hela

Kifupi jamaa nimependa staili zake anapambana sana
269445226_624533865365296_1929386416543600751_n-1.jpg


Yudah Exalioth
Jamiiforums
Geita
 
Ney anajitongoshesha sana kwa freemason lakini wanamkataa yaani anatamani sana,Mara ajiite freenation,Mara nyimbo za kumsifia lusifa,Mara video za madamu damu,Mara sijui nn.
Mwenye connection na kuzimu straight akakutane na malkia wa pwani amsaidie.
Anatamani sana umaarufu haupati.
 
Ney anajitongoshesha sana kwa freemason lakini wanamkataa yaani anatamani sana,Mara ajiite freenation,Mara nyimbo za kumsifia lusifa,Mara video za madamu damu,Mara sijui nn.
Mwenye connection na kuzimu straight akakutane na malkia wa pwani amsaidie.
Anatamani sana umaarufu haupati.
Eti yeye ni freemasons
 
Ney anajitongoshesha sana kwa freemason lakini wanamkataa yaani anatamani sana,Mara ajiite freenation,Mara nyimbo za kumsifia lusifa,Mara video za madamu damu,Mara sijui nn.
Mwenye connection na kuzimu straight akakutane na malkia wa pwani amsaidie.
Anatamani sana umaarufu haupati.
Freemason ni secret society 😁😁
 
Wasanii wengi ambao hawakai kwenye majukwaa makubwa wanaenda enterior kupiga show.
Ney wa mitego.
Juma nature.
Tundaman(haswa morogoro)
Best nasso(Mwanza na kagera)
Nk. Huko ndipo nawapata hela za magari na kupanga au kujenga mijini.
 
Ney anajitongoshesha sana kwa freemason lakini wanamkataa yaani anatamani sana,Mara ajiite freenation,Mara nyimbo za kumsifia lusifa,Mara video za madamu damu,Mara sijui nn.
Mwenye connection na kuzimu straight akakutane na malkia wa pwani amsaidie.
Anatamani sana umaarufu haupati.

Nasikia kwa hao jamaa ukiingia lazima ufirwe kwanza ndio utajua kutunza siri kwasababu na wewe siri zako wanazo. Nasikia kina Jay-Z wote, u Gansta wa bure washafirwa
 
Ney anajitongoshesha sana kwa freemason lakini wanamkataa yaani anatamani sana,Mara ajiite freenation,Mara nyimbo za kumsifia lusifa,Mara video za madamu damu,Mara sijui nn.
Mwenye connection na kuzimu straight akakutane na malkia wa pwani amsaidie.
Anatamani sana umaarufu haupati.
Mmhhhh
 
Show za kusubiri Fiesta na Wasafi festival utakula wapi kipindi unazisubiri na ukizingatia hits mjini ni nyingi.

Kina Nay ambao wanajua huko bush bado ni mastar ndo wamegundua hiyo njia kupiga jela maana mijini pagumu mno kwao.
 
Ney anajitongoshesha sana kwa freemason lakini wanamkataa yaani anatamani sana,Mara ajiite freenation,Mara nyimbo za kumsifia lusifa,Mara video za madamu damu,Mara sijui nn.
Mwenye connection na kuzimu straight akakutane na malkia wa pwani amsaidie.
Anatamani sana umaarufu haupati.
Umaarufu mara ngapi?
 
Back
Top Bottom